Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

Hii ni kauli ya dada mwimbaji wa siku nyingi aitwae Christina Shusho, "Kusema ule ukweli mimi niliondoka kwa mume wangu ili nianzishe kanisa langu, nilijiongeza ili ndoto zangu ziweze kutimia maana kama ningeendelea kuungana na mume wangu sehemu moja ningeendelea kudidimia.

"Siku hizi hakuna mambo ya mke na mume ni mwili mmoja!! hiyo haipo utapotea ndugu yangu, wewe na mume wako au na mke wako hamuwezi kuwa sawa, hiyo haipo kila mtu ana njia zake.

Na mimi siogopi watu nasema ukweli, haya ninayoyasema ndiyo yapo kichwani kwangu, huyu ndio mimi, kwanini niendelee kudanganya watu. Kwanza mimi licha ya kuwa Mchungaji lakini sipendi watu waniite Mchungaji Christina Shusho, sipendi na sitaki"
Amekuwa mdangaji. Anapigwa miti
 
Yaaan mm always napenda mtu anayekuwa mkweli anayependa kuishi uhalisia wake haijalishi Nan atasema nn au jamii itamuonaje
Shusho na yy ni mtu tu ameamua kuwek Hisa zake juu ya ndoa yake na her next goals
Anaona kuwa ndoa inamkwamisha kwenye kufkia her goals so fu*k it away and focus on her goals that's it
FB_IMG_1712600132939.jpg
 
Hii ni kauli ya dada mwimbaji wa siku nyingi aitwae Christina Shusho, "Kusema ule ukweli mimi niliondoka kwa mume wangu ili nianzishe kanisa langu, nilijiongeza ili ndoto zangu ziweze kutimia maana kama ningeendelea kuungana na mume wangu sehemu moja ningeendelea kudidimia.

"Siku hizi hakuna mambo ya mke na mume ni mwili mmoja!! hiyo haipo utapotea ndugu yangu, wewe na mume wako au na mke wako hamuwezi kuwa sawa, hiyo haipo kila mtu ana njia zake.

Na mimi siogopi watu nasema ukweli, haya ninayoyasema ndiyo yapo kichwani kwangu, huyu ndio mimi, kwanini niendelee kudanganya watu. Kwanza mimi licha ya kuwa Mchungaji lakini sipendi watu waniite Mchungaji Christina Shusho, sipendi na sitaki"
Nilianza kumpuzaa alipopewa ten m pale Arusha akamsujudia nikamwonea huruma aliposema mondi ni mchungaji
 
Zipo sababu kadhaa zinazoweza kumkengeusha mwanamke,akapoteza nafasi yake.

Cheo,pesa,umaarufu,elimu,umasikini.

Ukiona mwanamke ana kimoja kati ya hivyo au viwili na bado amekaa ktk mstari,huyo ndio malkia wa nguvu.
 
Makahaba wa Yesu hao waliomwosha miguu, kumfuta kwa nywele na kumpaka futa la gharama.

Ukristo uliishia kipindi cha mitume sasaivi tuna Ushubwada tu wizi, uzinzi na upotoshaji.
 
Back
Top Bottom