Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

Wakati ukute ndio mtu alomleta mjini 😆😆
Ukute amemtoa Kasuru huko porini.
Au kama wali kutana kimjinimjini hapo thawa.

Zamani wanaume walikuwa wanaoa makwao huko vijijini,
Mwanamke analeta hata ku-flush choo hajui anafundishwa, kutumia jiko la umeme hajui, usafi wa Nyumba kupiga deki hajui, kusafisha choo hajui, n.k

Yanni full mshamba.

Kuna wanawake wanaume zao wamewatoa mbali sana yawapasa kuwaheshimu na kuwashukuru siku zote.
Lakini sasa wakishajua ya mjini huwaambii kitu 👌👌😅
Mwanamke ukimtoa shamba umlete mjini, hesabu huyo sio wako tena. Ndugu yangu alimuoa mke kutoka kijijini akamleta mjini alipojanjaruka akachukuliwa jumla na matapeli wa mjini. Tapeli kakaa naye hadi alipofariki, jamaa hata hakujjishughulisha chochote na mambo ya msiba.

Ogopa sana kuoa mshamba kjijini na kumleta mjini. Utaibiwa mke misa ya kwanza tu.
 
UKO SAHIHI SANA,
NASIKIA NDOA ZA WALIO OA WABUNGE, NYINGI ZA MOTO SANA.
Hatari sana. Sasa ukute umeoa mwanamke;

1. ana hela kukuzidi

2. ana cheo kukuzidi

3. ana shule kukuzidi

Wa hivi kuweza kuhandle ndoa ikamuendea vizuri ni wachache sana. Sema nini, na wanaume sisi, kuwa na mwanamke wa hivi, hata asiposema chochote, huwa tuna ka-inferiority complex flani hivii..!!
 
Huyu Hana tofauti na zuchu wa bongofleva, anapanuliwa kila siku, kitu inaliwaaweeeee! Lakini bado anajiona "mtoto wa ki Islam" Hapo atakuambia hafanyi tangszo la pombe!
Shusho, alitaka kuwa huru afanye yake, hakuna ubaya, kama alikuwa ananyanyasika kwenye ndoa,
Ila alipochemka ni kusema "ni wito tu" Wa Mungu ndio umemtoa ndoani! Big lie,
Ange kuwa, wa, maaana sana kama angesema, wameachana, kwa, taraka baada ya kushindwana!
angesema ameachana kwa talaka nako ingekuwa shida pia maana angepoteza wasikilizaji wa nyimbo zake walio wakristo akaona aseme ameachana na ndoa ili kumtumkia mungu wapenda mungu waendelee kumsikiliza
 
Yupo huru sasa,wahuni wanajisukumia tu,Hakuna Mchungaji hapo asidhalilishe jina la Kristo
 
Kwenye kanisa lake anafundisha mafundisho ya ndoa? Kwenye ilo kanisa lake anafungisha ndoa? Kama anafungisha ndoa anatumia biblia gani kufungisha ndoa?

Kama hana ndoa na ni mchungaji maana yake ana hawala yake anaemtafuna!! God have mercy.
 
Huyo naye alitikisa anga ya waimba injili alipoleta za kuleta kwenye ndoa yake. Saivi anaonekana kama kahaba fulani hivi japo alipata kibenten
Kwani huyu si alifariki mkuu?
 
Kwenye kanisa lake anafundisha mafundisho ya ndoa? Kwenye ilo kanisa lake anafungisha ndoa? Kama anafungisha ndoa anatumia biblia gani kufungisha ndoa?

Kama hana ndoa na ni mchungaji maana yake ana hawala yake anaemtafuna!! God have mercy.
Hata Lwakatare aliasi ndoa lakini alikuwa anafungisha ndoa na alikuwa akiwaasa wanawake kutulia kwenye ndoa zao na walikuwa wanamuelewa bila tatizo. The same case applies to Shusho na maisha yanaendelea.
 
Huyo Christina Shusho amejiunga kwenye utajiri wa nguvu za giza/freemasons

Kipindi yupo na mume wake, mume aliumwa sanaa, watumishi wenzake wakamuombea ikagundulika Christina anataka kumtoa mume wake kafara
Akaulizwa akakana... mume akapona ndoa ikaendelea, alikua ni mwizi kwa mume wake
Ametembea sana na waumini wa kike kanisani kwa mume wake

Alipoona nguvu za Mungu kwa mume wake zinamuharibia mambo yake ndio akaanza kudai talaka

Ndoa imeisha kafungua kanisa
Kwa ambao washawahi kwenda kwenye kanisa la Christina watakua mashahidi! Kanisani kwake madhabahuni hamna msalaba kuashiria kristo kama kwenye makanisa mengine.
Waumini wanaingia ibadani na vipedo, tight na skin jeans, yeye mwenyewe Madam anafundisha neno huku kavaa gauni limemshape (anaitwa madam kwasababu kawapiga marufuku waumini wasimuite mchungaji)

Nimeishia hapo.
misalaba ni alama za mashetani ndo maana hata masonic wanazitumia na wasanii wanazitumia piah huwa nashangaa kuyaona makanisan...........watu wengi hushindwa kutofautisha msalaba (kama kifaa cha mateso kilichotumika kusulubu) ...na neno la msalaba.........ila itabid niudhurie hapo kwa shusho siku 1 nikajionee live bila chenga kama kwel kuna mambo mazur hvo ya vimino
 
Sasa sijui anawafundisha nini mabinti kanisani kama yeye ndoa imemshinda. Huyu ni wa kuweka mbali na mabinti na wanawake

Single maza wengi wa aina ya Shusho ni feminists wanawapandikiza mitazamo mibaya sana wanawake ambao wameolewa wapambanie 50/50

Na mambo wanayofundisha mabinti ambao hawajaolewa ni ya kuja kuwafanya kuwa wake wa hovyo sana kwa waume zao.

Na wana roho mbaya sana wanataka mabinti waharibu maisha wasiolewa wawe kama wao

Malaya kama hawa kwenye jamii ni wa kuwaepuka sana
imeshakuwa fasheni mkuu wangu, hali ni tete kwa kweli huko mbeleni kutakuwa na jamii ya ajabu isiyo na maadili ya ndoa na familia
 
we dada unalinganisha vitu viwili visivyolingana. Shusho kama angekuwa na wito huo tangu mwanzo asingeingia kwenye ndoa, angeendelea na maono yake ya kumtumikia mungu, acheni kupotosha ukweli
Maono yalikuja akiwa tayari kwenye ndoa mkuu. Mwacheni ayatimize.
 
Back
Top Bottom