Christmas holiday updates -Moshi, Kilimanjaro

Aiseee UCHUMI UMEBANA wewe tangulia tuu bhana MANGI
 
endeleeni kulea watoto sio wenu .mnapeleka damu za watu moshi si mpeleke wenu?
Mh maneno yako balaa ujue unaongea kwa jeuri kwa sababu una ushahidi. Baba watoto wako ni mchanamchaga umemfanyia hivyo au?
 
Mh maneno yako balaa ujue unaongea kwa jeuri kwa sababu una ushahidi. Baba watoto wako ni mchanamchaga umemfanyia hivyo au?
wanajifanya wapo busy kutafuta hela wanaume wanasaidia kwa wake zao wao wanabaki kulea tu .acha walee wazaramo .kizazi pure cha kichaga ifikapo 2080 kitakuwa hamna kabisa
 
endeleeni kulea watoto sio wenu .mnapeleka damu za watu moshi si mpeleke wenu?
Wewe taja kabila lako hayo mengine siyahitaji, siri ya mtoto anaijua aliyebeba mimba na huenda hata huyo unayemwita baba akawa hata si baba yako halisi ..

Taja kabila lako
 
mkuu mimi naondoka huku tarehe 25 saa sita ucku asubuhi tunakula kisusio hapo marangu mtoni tutakuwa wote.Kapa mringa mono wama

Aika sana! Inyi ngashika kingoto kyi tar 24 ngiwuya mrinyiπŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›
 
Mimi nafanya kazi Moshi na leo kwenye bus kulikuwa na mjadala wa kwamba JPM amebana fedha mpaka Wachaga safari hii wamepungua kweli yaani watakaokuja Moshi hawatazidi robo ya mwaka jana

Hata BUKOBA hivyo, hivyo. Ina maana kwamba ndugu zangu Magharibi na Mashariki ndio vinara wa DILI , TZ[emoji1540].
 
Wewe taja kabila lako hayo mengine siyahitaji, siri ya mtoto anaijua aliyebeba mimba na huenda hata huyo unayemwita baba akawa hata si baba yako halisi ..

Taja kabila lako
Achana na huyo mluguru, kichwa mimejaa Ngonoo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…