Tofauti ya sifa za kihaya na kichaga na hii.Wahaya walishasarenda kitambo, sifa yao moja muhimu ilikuwa ujivuni/majigambo... sasa ishakwapuliwa na Chaggas!
Nyie ni wajinga. Hata siku moja wachaga hawajadai wote wanafanya haya jamaa aliyoorodhesha. Hata Ulaya na utajiri wao lakini siyo wote ni matajiri. Hapa naona ni ile ile inferiority complex ya ''watu wa porini'' kwa wachaga inazidi kuwatafuna.Watakavokuja na mbwembwe kuushambulia sasa wakati hayo yote ulioandika ni ukweli mtupu, jamaa wanapenda sifa ambazo hawana
Kafata kitimoto huyo hana lolotee[emoji23][emoji23]Wewe huenda hata Kilimanjaro hujawahi kufika kabisa,
Eti hujaona shamrashamra za waislam wakisheherekea, kwani umeambiwa Waislam hii ni Sikukuu yao, yani uelewa wako mdogo kweli.
Na kote huko ulikozunguka umekosa hata picha ya kuambatanisha na huu upotoshaji wako? Kajipange tena
Hebu muambie huyo bwana mdogo, kwani kutumia public transport nao siyo Usafiri? si wanalipa nauli tena nauli kubwa msimu huu? lini ilisemwa wachaga hawatumii usafiri wa Umma kwenda Uchagani?Umeeleze very general things. Nyumba za zamani zipo. Wachaga si malaika kwamba kila mahali wana nyumba nzuri.
Kuja public transport ni kitu kimekuwa kikifanyika miaka na miaka. Kuja Private cars zimeanza miaka si mingi.
Kama ilivyo sehem nyingine. Si wote wanaweza kuja.. itategemea hao wengine wana majukumu gani.
Either wanaweza wasije hii sikuu.. wakaja siku zingine.
So sioni point ya kuwa overrated hapo. Ni issues za kawaida mabazo wenyeji wanazijua.
Karibu UCHAGANI (Israeli)Kagera mkoa hauna wahaya Tu la ukijua Hilo.
Meanwhile wahaya kwaoView attachment 1660211
Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
huyu bwana mdogo ni mbabaishaji tu hamna analolifaham kuhusiana na alichokisemaKwanza mleta mada ni muongo yaani juzi na jana umetembea Machame, Kibosho hadi Rombo!? Na kutafiti familia mbali mbali?!
Nyie ndege mpaka mpite Zanzibar [emoji1787][emoji1787].Hahahaha hamna lolote,utamaduni wa krismass UCHAGANI Tanzania nzima huwa inatega sikio Kilimanjaro
Ndege zote zimejaa Hadi January 10,mabasi karibu yote yamehamia Kilimanjaro,ma V8 Kama yote huko migombani
Ni muongo,ingekua kweli angeweka picha,yaan Kilimanjaro vijijin Ni Kam ulayaWewe huenda hata Kilimanjaro hujawahi kufika kabisa
Eti hujaona shamrashamra za waislam wakisheherekea, kwani umeambiwa Waislam hii ni Sikukuu yao, yani uelewa wako mdogo kweli.
Na kote huko ulikozunguka umekosa hata picha ya kuambatanisha na huu upotoshaji wako? Kajipange tena
Kama kagera ni vichaka. Kwa nini mpaka Leo population density iko juu kuliko hata KLM.Baadhi ya Mambo yanafanana,Ila kagera 60% Ni mapori na vichaka
Kilimanjaro 10% tu ndio misitu tena ya serikali, Kilimanjaro ardhi haiwez kuwa idle
Kilimanjaro licha ya kuwa mkoa mdogo lakini inaongoza kuwa na shule nyingi,kagera na ukubwa wote lakin haifui dafu kwa shule Wala miundombinu
Pia kagera umaskini Ni 40% wakati Kilimanjaro Ni 10% can you differentiate?
Kagera Kuna vijiji Hadi Leo havina umeme wakati Kilimanjaro umeme tangu 70's
Kagera Kuna sehemu chache kongwe ambazo ndio angalau Zina maendeleo Kama nshamba,kamachumu,bunaz
Utaongea vyote na badoTofauti ya sifa za kihaya na kichaga na hii.
Wahaya hujisifia alichonacho sio uongo. But wachaga Hadi uongo kabisa
Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Wacha niwaumbue kwa facts Hadi wakimbie wamekalia propaganda tu mm nawapa factNyie ni wajinga. Hata siku moja wachaga hawajadai wote wanafanya haya jamaa aliyoorodhesha. Hata Ulaya na utajiri wao lakini siyo wote ni matajiri. Hapa naona ni ile ile inferiority complex ya ''watu wa porini'' kwa wachaga inazidi kuwatafuna.
Hana kwao kwani umemuona kwenu????Wewe huna kwenu?
MTU KWAO kama mliotelekeza ndio mnapata gubu
Kama una njaa au kiu njoo hapa kwangu marangu upooze Koo[emoji1][emoji1]
View attachment 1660202View attachment 1660203
Anashangaxa Sana atakuwa ameishi kwa wasukuma huko bmulo na ngara.Kagera ni mapori??? Kumbe wewe umeishia biharamulo, hivi hujui kwamba Kagera ni ya tatu kwa population density nchini?? Je hao watu wanaishi wapi?? Kumbe ukiona mashamba ya migomba unadhani ni mapori, wilaya tu ya muleba ina watu zaidi ya laki saba, ukitoka muleba mpaka bk mjini zaidi ya km 80 ni makazi ya watu
Umesahau kuwa wachaga wanamiliki ndege? Precision air Ni ya mchaga,kampuni kibao za ndege binafsi za wachaga nitaje?Nyie ndege mpaka mpite Zanzibar [emoji1787][emoji1787].
Bukoba ni moja kwa moja na ndege zinajaaView attachment 1660216
Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Wewe Ni Kiazi Endelea Kubishana Tu Humu Lakini Huwezi Kupindua Ukweli. Utawadanganya Ambao Hawajafika Kwenu HukoAkili za mvivu bhana,njoo nikupe kaz
Kama ni distance basi mbeya musoma kigoma rukwa mtwara route ingeongezwa Hadi mara tatu kama bukoba.Sasa hayo si mambo ya Geographocal location mkuu? Mbona unabiangusha. Hata ingekua kagera iko kenta ndo imeshakua. Nauli ikiwa kubwa ndo nini sasa? Si kutokana na distance? Na mangarangara yenu[emoji23]
Kuwa na population density kubwa ndo sababu kusiwepo na mapori? Watu munaishi kwenye vibanda vidogo watu 20 unategemea nn? Hiyo population yenu imeweza changiaje pato la kila kaya huko kwenu?Kama kagera ni vichaka. Kwa nini mpaka Leo population density iko juu kuliko hata KLM.
Tena ni mkoa wa tatu kwa density na population?
View attachment 1660217
Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Tena Maskini ndo walevi kupindukia maana hela zote huishia hukoUlevi Ni starehe ya mtu,Kati ya ulevi na umalaya Ni kipi Bora? Hata Mimi huwa natandika bia Sana
Huwez kunywa bia Kama wewe Ni maskini
Jibu Ni simple tu kwasababu kagera ni mkoa mkubwa mnoKama kagera ni vichaka. Kwa nini mpaka Leo population density iko juu kuliko hata KLM.
Tena ni mkoa wa tatu kwa density na population?
View attachment 1660217
Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
[emoji3][emoji3] eti nyumba za matope, kweli imeshikwa pabaya[emoji23][emoji23][emoji23] na mlivyo wachafu? Uwuuiii. Nianze tu kuja huko. Nikafikie nyumba za matope? Hivi hamjui kama tumekua na mabae wa kihaya ama? Tena wanaishi na wenye uraia wa huko marekani na uingereza?[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119] niliogopa nikasema heee... nimeonaga picha picha na clips nikasema eeh