instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,037
- 17,212
Tofauti ya sifa za kihaya na kichaga na hii.Wahaya walishasarenda kitambo, sifa yao moja muhimu ilikuwa ujivuni/majigambo... sasa ishakwapuliwa na Chaggas!
Wahaya hujisifia alichonacho sio uongo. But wachaga Hadi uongo kabisa
Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app