Christmas Uchagani: Wachaga wako overrated!

Christmas Uchagani: Wachaga wako overrated!

Umeeleze very general things. Nyumba za zamani zipo. Wachaga si malaika kwamba kila mahali wana nyumba nzuri.
Kuja public transport ni kitu kimekuwa kikifanyika miaka na miaka. Kuja Private cars zimeanza miaka si mingi.
Kama ilivyo sehem nyingine. Si wote wanaweza kuja.. itategemea hao wengine wana majukumu gani.
Either wanaweza wasije hii sikuu.. wakaja siku zingine.

So sioni point ya kuwa overrated hapo. Ni issues za kawaida mabazo wenyeji wanazijua.
Ni wivu unamsumbua
 
Kweli vyasaka mmeamua kutuandama mwaka huu.Huu ni uzi wa 5 juu ya utamaduni wa kwenda nyumbani mwisho wa mwaka.
Nadhani badala ya kutuponda muige mambo mazuri kutoka kwa wachaga,kusalimia ndg jamaa na marafiki angalao Mara moja kwa mwaka ni jambo jema
Wametokwa povu wapori pori Hawa,dawa Ni kuwaumbua uongo wao mm nipo nao nawapa za uso kila wanapojaribu kupotosha
 
Watakavokuja na mbwembwe kuushambulia sasa wakati hayo yote ulioandika ni ukweli mtupu, jamaa wanapenda sifa ambazo hawana
Wewe na mtoa Post wote washamba,huwez kutembelea Familia 5 uka conclude eti utafiti
UCHAGANI kwa mujibu wa shirika la takwimu NBS ,mkoa wa Kilimanjaro Ni mkoa wa pili kwa makazi bora kwa 90% nyuma ya dar 92%
Sasa nyie ni watafiti kuliko nbs?
UCHAGANI ni eneo pekee tz watu wamejenga mno vijijin ndio maana hawaoni aibu kurudi kwao Kama nyie
MTU KWAO
 
Vyasaka ni nini?
Kweli vyasaka mmeamua kutuandama mwaka huu.Huu ni uzi wa 5 juu ya utamaduni wa kwenda nyumbani mwisho wa mwaka.
Nadhani badala ya kutuponda muige mambo mazuri kutoka kwa wachaga,kusalimia ndg jamaa na marafiki angalao Mara moja kwa mwaka ni jambo jema
 
Wachawi wapo huko kwa wachunga mbuz, UCHAGANI kungekuwa na wachawi kusingejengeka Kama ulaya
Kule kwenu kwenye vijumba vya nyasi ndio Kuna wachawi
Wala hakuna haja ya kurushiana maneno... Hali ya hewa Kilimanjaro Ni nzuri Sana na uwepo wa makazi Bora upo pia ardhi yenye rutuba ndio maana Mimi sikuhamisha family Bali nafanya movement za kibiashara nje ya Moshi... Maana naijua dar na Hali ya mazingira ki ujumla.. suala la elimu Kilimanjaro bado iko front Sana so tusiwa ongelee wachagga..Moshi vibaya Kama hujaishi nao karibu. Ila siwatetei wachagga lakn

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Us Again... we strike again[emoji23][emoji23][emoji23]

Mleta mada ubaumwa wewe... eti nyumba za kawaida... halaf ulipita wapi? Kwenye kila mji ama nyumba moja? Na hata ingekua ni nyumba moja wewe ni muongo yes. Halag kiuwezo lazima tutofautiane. Ulitaka wote wawe same? Hizo nyumba unazozisemea sasa[emoji23][emoji23][emoji23]

Ndo maana nakuuliza ulipita wapi? Halaf mbona hata barabarani kuna mabangaloo ya kutosha? Huko ndani ndani ndo usisemee na wewe mzanzibar huko kwenu kulivyo kuchafu mashenzini waongea nn? Eti ukafunga safari kabisa? Na naamini umeongopa wala hujafikaa[emoji23] punguza wivu wako mwanaume.
 
Back
Top Bottom