Christmas Uchagani: Wachaga wako overrated!

Christmas Uchagani: Wachaga wako overrated!

Bado nakuona wa ajabu,huwez kutembelea nyumba 5 alafu useme ndio utafiti wa jumla
nimekwambia Mimi naongea kwa fact
Soma jedwali hapo chini linaonyesha viwango vya umaskini vya kila mkoa
Mkoa wa Kilimanjaro una umaskini kwa 10% tu
kagera ina umaskini wa 40% nendeni mkajenge kwenu mpunguze umaskini
Kama unabisha endelea ili nizidi kukuumbua kwa factsView attachment 1660137
Achana na makablasha watu tumeshafika site tukajionea hakuna jipya ni utopolo mtupu
 
Unapanic nini wewe [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Nimekupa hoja,huwez kutembelea nyumba 10 then useme Ni utafiti jumla
Hakuna mkoa wowote tz ambao una makazi bora vijijin kuizidi Kilimanjaro hii hata mtoto wa memkwa anajua
Kilimanjaro yote maskini wote Ni 10% tu nimekupa na ushahidi
Cc
The Great hayaView attachment 1660150
1536246273.jpeg
 
Muhaya anajivuna kwa alichonacho lakini mchagga amepitiliza anadanganya watu kwa mambo ambayo hana kabisa
Wivu utakuua wewe mshaija,Naona unaumia mno mbwembwe za wachaga za krismass ndio hivyo na nyie mpende kwenu muache kutelekeza kwenu kule kishuro,mushabago,muhutwe etc
 
Bado nakuona wa ajabu,huwez kutembelea nyumba 5 alafu useme ndio utafiti wa jumla
nimekwambia Mimi naongea kwa fact
Soma jedwali hapo chini linaonyesha viwango vya umaskini vya kila mkoa
Mkoa wa Kilimanjaro una umaskini kwa 10% tu
kagera ina umaskini wa 40% nendeni mkajenge kwenu mpunguze umaskini
Kama unabisha endelea ili nizidi kukuumbua kwa factsView attachment 1660137
Naomba link ya hii mkuu nkachek.
 
Back
Top Bottom