Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukienda huko uru ndio utakua disappointed kabisa
Mkoa wa Kilimanjaro Ni mkoa wa pili tanzania kwa watu wake kuishi maisha Bora na makazi bora kwa 90% kwa mujibu wa nbsHey nataka nikuambie sasa
Hii desktop review, hujaenda huku unakotuaminisha kuwa umetembelea.Nimefanikiwa kufika maeneo ya Rombo, Mwika, Marangu, Old Moshi, Kibosho na Machame. Sijafanikiwa kufika maeneo ya Kirua vunjo na Uru. Kuna mambo mazuri sana na mabaya machache
Tupo pamojaWala hakuna haja ya kurushiana maneno... Hali ya hewa Kilimanjaro Ni nzuri Sana na uwepo wa makazi Bora upo pia ardhi yenye rutuba ndio maana Mimi sikuhamisha family Bali nafanya movement za kibiashara nje ya Moshi... Maana naijua dar na Hali ya mazingira ki ujumla.. suala la elimu Kilimanjaro bado iko front Sana so tusiwa ongelee wachagga..Moshi vibaya Kama hujaishi nao karibu. Ila siwatetei wachagga lakn
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mkuu umebonga hapa.[emoji28][emoji111]Hata mbezi beach kuna sehemu ina nyumba za udongo. Mtaa unaitwa Madongoni. Hiyo haifanyi Mbezi beach pawe Matombo
Sasa sisi wachaga ni heshima kubwa kujenga MAHEKALU vijijinNani anatoa povu? Ukweli mimi sipendi mambi ya vijijini..
WaporiporiVyasaka ni nini?
Asante kwa declarationItakuwa alienda kuchunguza sio kujifunza... Mimi si mchagga Ila hii movement naifahamu longtime nimeishi Moshi miaka mingi kidgo najua tofauti ya Moshi.. wachagga.. na sisi makabila mengine.. so watetei wachagga lakn
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mkuu usitumie nguvu nyingi kujitetea watu wanatembea na wanaona, mleta mada ametembelea maeneo famous Lakin cha kushangaza amekuta over 90% ni nyumba za kawaidaWewe na mtoa Post wote washamba,huwez kutembelea Familia 5 uka conclude eti utafiti
UCHAGANI kwa mujibu wa shirika la takwimu NBS ,mkoa wa Kilimanjaro Ni mkoa wa pili kwa makazi bora kwa 90% nyuma ya dar 92%
Sasa nyie ni watafiti kuliko nbs?
UCHAGANI ni eneo pekee tz watu wamejenga mno vijijin ndio maana hawaoni aibu kurudi kwao Kama nyie
MTU KWAO
Jamaa wanatumia nguvu nyingi kudanganya watu ambao hawajafika huko ili wawaaminiUkienda huko uru ndio utakua disappointed kabisa
[emoji23][emoji23] wahaya bwana.Mkuu usitumie nguvu nyingi kujitetea watu wanatembea na wanaona, mleta mada ametembelea maeneo famous Lakin cha kushangaza amekuta over 90% ni nyumba za kawaida
Wanatoa povu balaa wakati Mimi nafanya Kazi uru na taasisi inasaidia watoto wenye mazingira magumu.Jamaa wanatumia nguvu nyingi kudanganya watu ambao hawajafika huko ili wawaamini
[emoji3] karibu uhayani angalau unywe supu ya sato baada ya kunywa mbege[emoji23][emoji23] wahaya bwana.
Jamaa wanatumia nguvu nyingi kudanganya watu ambao hawajafika huko ili wawaamini
Bado nakuona wa ajabu,huwez kutembelea nyumba 5 alafu useme ndio utafiti wa jumlaMkuu usitumie nguvu nyingi kujitetea watu wanatembea na wanaona, mleta mada ametembelea maeneo famous Lakin cha kushangaza amekuta over 90% ni nyumba za kawaida
Hawa Ni size yangu niachie niwanyooshe kwa facts[emoji23][emoji23] wahaya bwana.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]watu wa ajabu sana, na kama hujawah kufika unaweza kuharibu hadi nauli kumbe unaenda kuona utopoloWanatoa povu balaa wakati Mimi nafanya Kazi uru na taasisi inasaidia watoto wenye mazingira magumu.
Wanatoa povu balaa wakati Mimi nafanya Kazi uru na taasisi inasaidia watoto wenye mazingira magumu.
Hata marekani Kuna maskini, Kilimanjaro maskini Ni 10% tu kwa mujibu wa nbs, sasa unabishana na uhalisia? Hizo kaya kumi maskini za uru ndio UCHAGANI nzima? Idiot[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]watu wa ajabu sana, na kama hujawah kufika unaweza kuharibu hadi nauli kumbe unaenda kuona utopolo
Hana picha ni propaganda za wivu kwa wachaga tuWeka picha