luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
Ni wivu unamsumbuaUmeeleze very general things. Nyumba za zamani zipo. Wachaga si malaika kwamba kila mahali wana nyumba nzuri.
Kuja public transport ni kitu kimekuwa kikifanyika miaka na miaka. Kuja Private cars zimeanza miaka si mingi.
Kama ilivyo sehem nyingine. Si wote wanaweza kuja.. itategemea hao wengine wana majukumu gani.
Either wanaweza wasije hii sikuu.. wakaja siku zingine.
So sioni point ya kuwa overrated hapo. Ni issues za kawaida mabazo wenyeji wanazijua.
Wametokwa povu wapori pori Hawa,dawa Ni kuwaumbua uongo wao mm nipo nao nawapa za uso kila wanapojaribu kupotoshaKweli vyasaka mmeamua kutuandama mwaka huu.Huu ni uzi wa 5 juu ya utamaduni wa kwenda nyumbani mwisho wa mwaka.
Nadhani badala ya kutuponda muige mambo mazuri kutoka kwa wachaga,kusalimia ndg jamaa na marafiki angalao Mara moja kwa mwaka ni jambo jema
Haha unapajua mpaka madongoni.? Wanauza gongo pale acha kabisaHata mbezi beach kuna sehemu ina nyumba za udongo. Mtaa unaitwa Madongoni. Hiyo haifanyi Mbezi beach pawe Matombo
Ni wivu tuMbona mnawaandama wakwe zangu.
Mtu KWAO.
Wapi aliposema anataka wasifanye hicho wanachokifanya?Kwahyo unataka kusemaje......wasifanye hko wanachofanya?..kwan kina ubaya
Mbona unateseka sana mkuu.
Ameacha Kahe kwa wachawiMbona unateseka? Sehemu ulizotembelea ni 5% tu ya UCHAGANI yote umeacha 95% huwez ku conclude research kwa kutembelea 5%
Hahaha Naona shamrashamra za wachaga zinawatoa povu,na nyie jengeni kwenu mjidai
Wewe na mtoa Post wote washamba,huwez kutembelea Familia 5 uka conclude eti utafitiWatakavokuja na mbwembwe kuushambulia sasa wakati hayo yote ulioandika ni ukweli mtupu, jamaa wanapenda sifa ambazo hawana
Wachawi wapo huko kwa wachunga mbuz, UCHAGANI kungekuwa na wachawi kusingejengeka Kama ulaya
Sijaona mantiki ya thread zaidi ya wivu, watu wanarud kwao kwasababu wamejenga, nyie mnaotoa povu ndio walewale mliotelekeza makwenuWapi aliposema anataka wasifanye hicho wanachokifanya?
Umaskini umetofautiana, huwez fananisha maskin wa UCHAGANI anaelala nyumba ya bati dhidi ya yule wa urambo wa nyumba za nyasi
HaswaaaWachaga again..kweli sisi ni wakubwa
Mhaya hana ubavu kwa mchaga labda kwa mzaramoHuu mtanange wa wahaya na wachaga, ngoja tuone bingwa ni nani.
Kumbe unapajua madongoni? Naishi mtaa wa pili toka paleHata mbezi beach kuna sehemu ina nyumba za udongo. Mtaa unaitwa Madongoni. Hiyo haifanyi Mbezi beach pawe Matombo
Kweli vyasaka mmeamua kutuandama mwaka huu.Huu ni uzi wa 5 juu ya utamaduni wa kwenda nyumbani mwisho wa mwaka.
Nadhani badala ya kutuponda muige mambo mazuri kutoka kwa wachaga,kusalimia ndg jamaa na marafiki angalao Mara moja kwa mwaka ni jambo jema
Nani anatoa povu? Ukweli mimi sipendi mambi ya vijijini..Sijaona mantiki ya thread zaidi ya wivu,watu wanarud kwao kwasababu wamejenga,nyie mnaotoa povu ndio walewale mliotelekeza makwenu
MTU KWAO
Wala hakuna haja ya kurushiana maneno... Hali ya hewa Kilimanjaro Ni nzuri Sana na uwepo wa makazi Bora upo pia ardhi yenye rutuba ndio maana Mimi sikuhamisha family Bali nafanya movement za kibiashara nje ya Moshi... Maana naijua dar na Hali ya mazingira ki ujumla.. suala la elimu Kilimanjaro bado iko front Sana so tusiwa ongelee wachagga..Moshi vibaya Kama hujaishi nao karibu. Ila siwatetei wachagga laknWachawi wapo huko kwa wachunga mbuz, UCHAGANI kungekuwa na wachawi kusingejengeka Kama ulaya
Kule kwenu kwenye vijumba vya nyasi ndio Kuna wachawi