miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Wapi huko? Mko so bitter ila ndo hivyo minyoosho kama kawaUnachekesha wewe kwa hyo wahaya hawajatembea, yaani kila uendako lazima Mhaya utamkuta anasaka life
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi huko? Mko so bitter ila ndo hivyo minyoosho kama kawaUnachekesha wewe kwa hyo wahaya hawajatembea, yaani kila uendako lazima Mhaya utamkuta anasaka life
mkuu mkoa wa kilimanjaro sio mkubwa kiivyo sasa kibosho na machame kuna umbali gani kwa mfano hata huko rombo ni safari ya saa moja tu toka moshi mjiniKwanza mleta mada ni muongo yaani juzi na jana umetembea Machame, Kibosho hadi Rombo!? Na kutafiti familia mbali mbali?!
Eti na hii ni sifa [emoji3][emoji3] yaani ukizidiwa sifa mwishowe unachanganikiwaNajua una njaa njoo UCHAGANI ule nyamaView attachment 1660225
Mhaya na kusaka life wapi na wapiUnachekesha wewe kwa hyo wahaya hawajatembea, yaani kila uendako lazima Mhaya utamkuta anasaka life
Hebu tafuta stendi ya daladala zza vijijini bukoba uone hayo magari. Sehemu nyingine Hadi Costa kabisaMoshi-marangu,moshi-machame,moshi-sanya,moshi-kibosho,moshi-uru,moshi-masama,moshi-rombo,moshi-holili,moshi-himo niendelee?
Huna pesa tafuta pesaHicho Ndo Mlichobaki Nacho Kujipiga Kifua Kwa Utopolo Utopolo,mkiitwa Wapumbavu Mnamwaga Mapovu
Biashara gani wew unazo kagera [emoji23]Mm nimeishi huko miaka 3 na Nina biashara zangu kule ninapajua vizr
Huwez jua wewe
Hahahahahahaha
Wasukuma wanapanda Air Bus!Kwani huko kwenye treni Wasukuma mmekatazwa kupanda?
Alafu wanashusha majumba ya kisasa vijijini, utakonda bure ukiwafikiria wahayaMhaya na kusaka life wapi na wapi
Mhaya akiwa na million 4 anajiona bilionea wakati mchaga million 4 Ni hela ya kunywa[emoji1][emoji1]
Nmeshatembea mikoa mingi tu hakuna sehemu yenye usafiri mzuri vijijini kama bkHebu tafuta stendi ya daladala zza vijijini bukoba uone hayo magari. Sehemu nyingine Hadi Costa kabisa
Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Sasa kushusha nyumba vijijin UCHAGANI kuna mpinzani? Nbs wanakuambia Kilimanjaro Ni mkoa wa kwanza makaz bora vijijin kws 90% wakati kagera ni 60% tuAlafu wanashusha majumba ya kisasa vijijini, utakonda bure ukiwafikiria wahaya
Kuna wapenda sifa Tanzania hii kama wahaya?Watakavokuja na mbwembwe kuushambulia sasa wakati hayo yote ulioandika ni ukweli mtupu, jamaa wanapenda sifa ambazo hawana
HongereniWasukuma wanapanda Air Bus!
Hata Mbezi Beach kuna sehemu ina nyumba za udongo. Mtaa unaitwa Madongoni. Hiyo haifanyi Mbezi beach pawe Matombo
Usafir wa vijijin kagera umeathiriwa na barabara mbovuNmeshatembea mikoa mingi tu hakuna sehemu yenye usafiri mzuri vijijini kama bk
Wachaga mkiwa mjini Mzizima mna mbwembwe sana lakini kiuhalisia mnasafiri kwa treni na kulala kwenye mapagale.
Nadhani sasa umemuelewa!
HahahaWachaga wakirudi makwao na assets zao wakazihamisha wallah miji itabaki na mapagale na mama ntilie pekee