Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nime mu ongezea na nyingine nina mu hukumu sasa hivi kwa kutumia mbege
Unajifunza maisha ya wachaga kwa siku mbili tarh 24 na 25 then unathubutu kusema unareport, jipange tafuta semester 8 labda utafanikiwa kujua hayo maishaNilifika Kilimanjaro jioni ya tarehe 24/December, nikiwa kwenye timu ya watu watatu tuliojigawa kimaeneo kwa mishemishe tofauti (Hii imenisaidia kupata findings za uhakika).
Tarehe 25/December nilikuwa Marangu, Mwika (Makerere, Mori, Shokoni, Bible nk) na Rombo(Useri, Mashati, Mkuu, Tarakea nk). 26/December nilikuwa maeneo ya Old Moshi(Kidia, Mande, Kiboroloni, Shia, Mbokomu nk), Kibosho na Machame.
Bado nipo Kilimanjaro, nakula bata na kujifunza maisha ya wachaga na wakazi wa Kilimanjaro.
GashinagaMoshi ni sehemu ya utalii wa ndani, sisi Wapemba twatiririka kwenda kula lijidude jeupe litamu huko🐷🐖🐽
Thread imekaa kiwivu wivu hii, Na wewe rudi kwenu krismasi kwani nani kakukataza, Au unaogopa kurogwa 😁😁😁
Eti wahaya ilikuwa zamani?Wahaya walikuwa zamani sasa hivi ni raia wa Usukumani na wanijisikia vizuri kuingizwa kwenye jamii kuu isiyo na ubaguzi
Mkuu embu nisaidie hapo, huenda huko Kirua Vunjo nimepafika bila kujua, halafu mwenyeji wangu akaniingiza chaka kuwa sijafika!Unafika Marangu, Mwika halafu hukufika Vunjo?
Bado nipo Kilimanjaro, mkuu kama upo tuonane, nitembeze kidogo ili nijifunze mengi.Acha uongo na unafiki mkubwa mkuda wewe......Yaani to be honest haujafika Kilimanjaro wala popote pale unakaa tu mahali unatype nyuma ya keyboard halaf unakuja kuandika uzushi na uongo tu
Huu ni uzi kuhusu Chrismas uchagani na sio mambo ya Bukoba.Bukoba Hali ipoje?
Hapana, sijatembea Kilimanjaro yote bali baadhi ya maeneo ya wachaga katika wilaya za Rombo, Moshi vijijini na Hai. Na ziara yangu imeshachukua siku tatu sasa.Umetembea siku moja Kilimanjaro yote na umekuja na hizo takwimu? 😂😂😂😂
Mmmh!Eneo la Kilimanjaro in dogo sana. Aidha utalii wa mlima Kilimanjaro ulichangia Barabara hizo kujengwa. Ila nakuambia ukweli kwamba kwa sasa wasukuma wameamka in sawa na zimwi liliolala na sasa limeamka itabidi muwe wapole tu.
Ndugu nihukumu tu, hapo sijui ni wapi, maana nimekutana na barabara nyingi na nzuri za lami huko uchagani. Nikisema ni wapi nitakuwa nabahatisha sana.Umesema umepita pande hizo apo ni wapi kabla sija kuhukumu?
View attachment 1660936
View attachment 1660936
Kujifunza kwa aliyefanikiwa au kukutangulia kutakufanya nawe utamani kusonga mbele zaidi.Huu utafiti una faida gani kwako na kijiji kwenu na kwa Baba yako na mama yako!
Sijui ndugu maana ya findings, nifungue basi akili nijue hiyo kitu.usituletee Uongo hapa tunahitaji taarifa sahihi. haiwezekani eti unasema umekusanya findings alafu kumbe ni utopolo mtupu. Findings unafahamu maana yake wewe
Kwa mfano mimi mngazija wa kuungaunga kutoka unguja, nihamie kabila gani la huku bara?Mbona mnateseka sana. Badilisheni makabila yenu.