Chibudee
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 1,775
- 2,404
Nimepanda Hiace toka hapa banana naelekea mjini kuona mandhari abiria 1 akataka kuingia kondakta akamjibu kwa lafudhi ya Arusha "usije maana gari iko NGAA"
Nikadodosa NGAA ni nini nikaambiwa maana yake imejaa haipakizi tena[emoji23]
Hebu tupia misamiati mingine ya chuga tusiyoijua kwenye comments tujifunze sisi wa Dar maana wakina Miss Buza wetu wakija huku wata-shaa[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikadodosa NGAA ni nini nikaambiwa maana yake imejaa haipakizi tena[emoji23]
Hebu tupia misamiati mingine ya chuga tusiyoijua kwenye comments tujifunze sisi wa Dar maana wakina Miss Buza wetu wakija huku wata-shaa[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app