Chuki dhidi ya January Makamba inatoka wapi?

Div 1 ndio inakufanya kuwa Kiongozi? Waziri ni mtaalamu kwamba anaenda kufanya mahesabu? Kumbe chuki binafsi tuu.
 
Tanesco imemshindaje ,eleza
 
Kamfuate kaburini ukamwimbie hizo sifa za kijinga
 
Wewe umekatazwa Kuiba? Kwa nini dada yako nae asiwe mtunza pesa?

Kwani JPM wako ni nani Hadi asifanyiwe figisu? Mbona huyo unaemtetea sio tuu amefanya hujuma Kwa wenzie Bali amekatisha Uhai wao,yupi ni binadamu kati Yao wawili?

Wewe unanifahamu Dili gani ambako analifanya? Kufanya Dili Kuna shida gani? Wewe umekatazwa kufanya Dili?

Kujiona ndio kukoje au wewe ndio unaona hivyo? Unaweza thibitisha?
 
Hakuna chuki, Watanzania wote Hawa hawawezi kumchukia makamba. Lazima kuna Shida sehemu. Why always makamba?? Jibu ni Hafai na Hafai Tena kuongoza wizara zetu
Watanzania wote wapi wanamchukia au nyie misukule ya Mwendazake? Lazima mumchukie maana alikuwa anampa spana za kutosha Jiwe
 
Binafsi nilikua namuamini sana kipara ila ishu ya kreni bwawa la Nyerere ndio iliyonikata stimu,, jamaa janja janja nyingi sana huyu
Kama issue ni crane,vipi Jiwe aliyekuwa anadanganya Wasiwasi? Tunajenga Kwa pesa zetu kumbe matilioni ya mikopo ya kibiashara
 
Una uwezo mdogo wa kufikiri kama Makamba
 
Upumbavu,limtu limekaa miaka 6 hakuna hata mradi limekamilisha.

Samia is way better off than Jiwe Kwa angles zote.

Unataka vimiradi vya kukurupuka ambavyo vilimshinda achilia mbali kuharibu uchumi na maisha ya watu.
 
Mkuu na pale wami daraja jipya likajengwa chaap na roho za umauti zikakoma kuwaandama madereva wa malori na mabasi na abiria wao.
Huwa nawashangaa sana nyie watu wajinga wajinga,ukiacha kuanzisha , Mwendazake alikamilisha miradi ipi Kwa miaka 6? Alikuwa anafichia udhaifu wake Kwa Kuanzisha 😆😆
 
Binafsi simchukii, sema January bila lile jina la Makamba basi angekuwa muosha Magari au kinyozi. Mwanangu huwa ananiambia hizi kazi hazihitaji kabisa uwe intelligent.
Hizo ndio chuki zenyewe,wewe hupangi destiny ya mtu
 
Unajidanga sana kijana Makamba jr ni mmoja wa vijana wa hovyo kuwai kutokea enzi za JK walikuwa miungu watu wakifuta mtoto wa JK na nape Jr

Jecha alivyofuta uchanguzi zanzibar akaesema ccm hauwezi toka madarakani kwa njia ya karatasi
Kwani wewe unaona ccm itatoka madarakani Kwa njia ya karatasi?
 
Ngoja tuone sasa iwapo tatizo la kukatikakatika kwa umeme litakoma.

Tutajua tatizo lilikuwa ni mtu au mfumo mzima?!

Niko pale nasikilizia mrejesho.
Maharage Chande alishaweka clear hakuna siku umeme utaachankukatika ikiwa miundombinu ilishaoza nothing new.

January hajatolewa huko Kwa sababu za kukatika Kwa umeme Bali sababu zingine kabisaa tena za Kisiasa kuelekea 2025.
 
Kwanza categorically it's false.


Pili mwaka jana Tanesco imeunganisha wateja laki tano kwa mwaka. First time ever.
 
Maharage Chande alishaweka clear hakuna siku umeme utaachankukatika ikiwa miundombinu ilishaoza nothing new.

January hajatolewa huko Kwa sababu za kukatika Kwa umeme Bali sababu zingine kabisaa tena za Kisiasa kuelekea 2025.
Ukiwa ccm hata kama umesoma akili za kufikili zinapungua unakuwa kama kichaa
 
Kama kina nani hao wenye uwezo mkubwa,mbona huwataji? Wewe au nani?
 
Excuses za kipuuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…