bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Anza na yeye Mimi Sina influence kwenye matumizi ya Kodi zetu.Tupe hata moja la maana kwa taifa keshawahi.Wewe umefanya kipi Cha maana? Wewe ulitaka Waziri afanye kipi Cha maana? Unayajua majukumu ya Waziri?
Aaaaa baba/mama eee.. google.Kazi ya Waziri sio kupenda bwawa au kutolipenda so long as ni mradi wa Kitaifa lazima usimamie.
Speed ya kulinganisha ingekuwa ndogo asingewafikia watu 500k,leta rekodi kama hii kabla tena umeme Ukiwa 27,000 niwekeeni hapa
Kama hujui acha kuropokaAnza na yeye Mimi Sina influence kwenye matumizi ya Kodi zetu.Tupe hata moja la maana kwa taifa keshawahi.
Lete ushahidi acha porojoKama hujui acha kuropoka
Ushahidi wa nini? Rejea posts zangu nimeshawajibu wenzako waliotaka kujua Makamba kafanikisha niniLete ushahidi acha porojo
Weka hata moja kwa kifupi tuUshahidi wa nini? Rejea posts zangu nimeshawajibu wenzako waliotaka kujua Makamba kafanikisha nini
Acha ujinga basiWeka hata moja kwa kifupi tu
Mbona yote haya yamekuwepo kitambo tu.Acha ujinga basi
Tanesco kuanza kupata faida
Bwawa kufikia 90%
Kigoma,Katavi na Tabora kupata umeme wa grid ya Taifa
Kuunganishwa wateja wapya zaidi ya 500k
Kupeleka umeme kwenye migodi mikubwa ikiwemo GGM,Kagera Sugar nk
Kuzindua program ya Nishati safi
Kuanzisha REA awamu ya 3 kwenye Vitongoji
Na mengine mengi tuu.
Kitambo kipi yalikuwepo? 😆😆😆😁😁😁😁🤣🤣🤣🤣Mbona yote haya yamekuwepo kitambo tu.
Anza na Jimbo lake kawafanyia nini
Hizo mbona ni kazi za Kila siku hata asipokuwepoKitambo kipi yalikuwepo? 😆😆😆😁😁😁😁🤣🤣🤣🤣
View: https://twitter.com/tanescoyetutz/status/1696385688122335569?t=SKdBZs6GCTALHMMIf7Vjug&s=19
Na kilichopelekea Ufanisi huo.ni hiki hapa 👇Kwanza categorically it's false.
Pili mwaka jana Tanesco imeunganisha wateja laki tano kwa mwaka. First time ever.
ChawaJanuary ni miongoni mwa viongozi bora sana tulionao kama nchi. Makelele unayosikia dhidi yake, ambayo haya ushahidi, ni kutoka kwa wasaka urais (wa baadae) ambao wanamuona tishio.
Pia, mimi naamini makelele hayo (hasa mitandaoni) ni moja ya mikakati wa baadhi ya vyama vya upinzani kushambulia vijana (viongozi watarajiwa) wa chama tawala, kama njia ya kuimarisha mbio zao za kusaka kushika dola. Inaonekana kama vile vijana wowote wa chama tawala wenye muelekea wa kuwa viongozi wakuu hapo baadae (January, Mwigulu, Kitila, Nape n.k.), lazima wasakamwe na kuchafuliwa hata bila ushahidi wala hoja za msingi.
Kama ni kazi za Kila siku Kwa nini hazikufanyika hapo kabla?Hizo mbona ni kazi za Kila siku hata asipokuwepo
La mama akoWagalatia ndo wanaomchukia January makamba
Mti wenye matunda ndiyo upopolewao.January Makamba, mtoto wa Katibu Mkuu mstaafu wa CCM amekuwa akiandamwa katika mitandao mingi ya kijamii na kujaribu kuaminisha umma ya kuwa ni mtu hafai katika uongozi.
Binafsi Makamba nilimuona wakati wa utawala wa Kikwete akiwa ni mmoja wapo wa wasaidizi wa Rais Kikwete.
Mwenye ushahidi wa wazi kuhusu mabaya yake atuwekee hapa ingawa mimi namuona ni mtu humble, focused na mwenye uvumilivu.
Kuna watu wanamwona kama threat kwao na ndo ukweli ana nyota kali nadhani kila wakipuliza wanamuona zumbe anazidi kung'ara. Ukiandikiwa umeandikiwa tu hata adui atumie nguvu ya namna gani hawezi kukushusha wala kukuchafua!January Makamba, mtoto wa Katibu Mkuu mstaafu wa CCM amekuwa akiandamwa katika mitandao mingi ya kijamii na kujaribu kuaminisha umma ya kuwa ni mtu hafai katika uongozi.
Binafsi Makamba nilimuona wakati wa utawala wa Kikwete akiwa ni mmoja wapo wa wasaidizi wa Rais Kikwete.
Mwenye ushahidi wa wazi kuhusu mabaya yake atuwekee hapa ingawa mimi namuona ni mtu humble, focused na mwenye uvumilivu.
Hizo tuzo zilikuwepo huko zamaniKama ni kazi za Kila siku Kwa nini hazikufanyika hapo kabla?
View: https://twitter.com/tanescoyetutz/status/1692932059767902483?t=zMXjiku8oAl6q0SWnm7_Jw&s=19
Tulia dozi ikuingieHizo tuzo zilikuwepo huko zamani
Kama kweli wewe ni mkweli malizia na neno "Muadilifu".January Makamba, mtoto wa Katibu Mkuu mstaafu wa CCM amekuwa akiandamwa katika mitandao mingi ya kijamii na kujaribu kuaminisha umma ya kuwa ni mtu hafai katika uongozi.
Binafsi Makamba nilimuona wakati wa utawala wa Kikwete akiwa ni mmoja wapo wa wasaidizi wa Rais Kikwete.
Mwenye ushahidi wa wazi kuhusu mabaya yake atuwekee hapa ingawa mimi namuona ni mtu humble, focused na mwenye uvumilivu.