Haijalishi kuwa wewe ni Dogo, Braza au Dingi, au Kikongwe.... Cha msingi jua kuwa Mzee wa Chato alikuwa Rais bora, imagine miaka 5 tu, Bongo ilianza kutoka kwenye ubongonyoso, tukaanza kuingia kwenye ubongoraha... Tukaanza kuwa Recognized, Watalii wakaanza kutua, Miradi ikaanza kutembea, Serikali ikaamia Dodoma, Treni ya SGR na Bwawa la umeme likaanza kujengwa, Daraja refu Afrika mashariki pale mwanza, Meli kubwa ziwa Victoria, MV hapa kazi tu... Rushwa ilianza kupotea maana, mchizi wangu mmoja naye alikamatwa kwa rushwa, ata mwananchi wa kawaida akaanza kuheshimika... Yule mwamba apumzike tu... Ukipinga huu ukweli, wewe unatakiwa ukapimwe akili uenda akili zako ni moja kasoro robo