Chuki dhidi ya January Makamba inatoka wapi?

Chuki dhidi ya January Makamba inatoka wapi?

Ile voice note inabeba kila kitu.

Lakini haya machache;
1. Huwa anajiona yupo smart kichwani kuliko mtu mwingine wakati hamna kitu..kwenye ofisi yake huwa anabadili sana makatibu.
2. Kwa mara ya kwanza aliingia bungeni kwa rushwa millioni 300 huku baba yake akiwa katibu mkuu na akafumbia macho.
3. 2015 Kikwete alilalamika kuwa pamoja na January kuwa msaidizi wake lakini alienda kuchukua fomu ya urais bila hata kumuambia.
4. Ni mtu anayependa dili sana..kuna ushahidi wa wazi kika alipokuwa akienda kwenye mradi wa bwawa la nyerere kuna zile kampuni zinamletea bahasha ili ziendelee kuoewa tenda kwenye bwawa la nyerere..kiufupi anatoka hapo nishati akiwa bilionea wa kutisha.
Umesahau mafumbo yake kwenye twitter na insta ya kumfumba Mh Rais Magufuli kipindi katumbuliwa akakanywa mpaka akaenda kufuta post huo ni utovu wa nidhamu kwa kiongozi mkubwa wa nchi hatujasahau
 
Ile voice note inabeba kila kitu.

Lakini haya machache;
1. Huwa anajiona yupo smart kichwani kuliko mtu mwingine wakati hamna kitu..kwenye ofisi yake huwa anabadili sana makatibu.
2. Kwa mara ya kwanza aliingia bungeni kwa rushwa millioni 300 huku baba yake akiwa katibu mkuu na akafumbia macho.
3. 2015 Kikwete alilalamika kuwa pamoja na January kuwa msaidizi wake lakini alienda kuchukua fomu ya urais bila hata kumuambia.
4. Ni mtu anayependa dili sana..kuna ushahidi wa wazi kika alipokuwa akienda kwenye mradi wa bwawa la nyerere kuna zile kampuni zinamletea bahasha ili ziendelee kuoewa tenda kwenye bwawa la nyerere..kiufupi anatoka hapo nishati akiwa bilionea wa kutisha.
Samahani,
Bwana mmoj anayemshambulia sana kule tweeter anakerwa hata na tuvaaji wake wa kukunja shati mikono kidogo,kama Obama.Kuhusu rushwa,samahani tena,hivi kwa CCM kuna mbunge anapita kutoa rushwa (kama sio kwenye uchaguzi ni kwenye mchujo).Hili la dili sina uhakika lakini kwa kusemwa huku CAG si angemuanika vilivyo?
Nashukuru
 
Haijalishi kuwa wewe ni Dogo, Braza au Dingi, au Kikongwe.... Cha msingi jua kuwa Mzee wa Chato alikuwa Rais bora, imagine miaka 5 tu, Bongo ilianza kutoka kwenye ubongonyoso, tukaanza kuingia kwenye ubongoraha... Tukaanza kuwa Recognized, Watalii wakaanza kutua, Miradi ikaanza kutembea, Serikali ikaamia Dodoma, Treni ya SGR na Bwawa la umeme likaanza kujengwa, Daraja refu Afrika mashariki pale mwanza, Meli kubwa ziwa Victoria, MV hapa kazi tu... Rushwa ilianza kupotea maana, mchizi wangu mmoja naye alikamatwa kwa rushwa, ata mwananchi wa kawaida akaanza kuheshimika... Yule mwamba apumzike tu... Ukipinga huu ukweli, wewe unatakiwa ukapimwe akili uenda akili zako ni moja kasoro robo
 
Hz ni miongoni mwa mbinu anazotumia mheshamiwa February manyuzi, kujiweka akilini mwa watu, apa naona chawa wake wakijaribu kueka hoja nyepesi kumtetea apate huruma za wanyonge watz, Ila kiukweli February ni ibilisi
 
January Makamba, mtoto wa Katibu Mkuu mstaafu wa CCM amekuwa akiandamwa katika mitandao mingi ya kijamii na kujaribu kuaminisha umma ya kuwa ni mtu hafai katika uongozi.

Binafsi Makamba nilimuona wakati wa utawala wa Kikwete akiwa ni mmoja wapo wa wasaidizi wa Rais Kikwete.

Mwenye ushahidi wa wazi kuhusu mabaya yake atuwekee hapa ingawa mimi namuona ni mtu humble, focused na mwenye uvumilivu.
He is irrelevant and useless to Tanzanian citizens and their sovereignty resources therefore immaterial for whatever roles to trusted.
 
Haijalishi kuwa wewe ni Dogo, Braza au Dingi, au Kikongwe.... Cha msingi jua kuwa Mzee wa Chato alikuwa Rais bora, imagine miaka 5 tu, Bongo ilianza kutoka kwenye ubongonyoso, tukaanza kuingia kwenye ubongoraha... Tukaanza kuwa Recognized, Watalii wakaanza kutua, Miradi ikaanza kutembea, Serikali ikaamia Dodoma, Treni ya SGR na Bwawa la umeme likaanza kujengwa, Daraja refu Afrika mashariki pale mwanza, Meli kubwa ziwa Victoria, MV hapa kazi tu... Rushwa ilianza kupotea maana, mchizi wangu mmoja naye alikamatwa kwa rushwa, ata mwananchi wa kawaida akaanza kuheshimika... Yule mwamba apumzike tu... Ukipinga huu ukweli, wewe unatakiwa ukapimwe akili uenda akili zako ni moja kasoro robo
Lakini mada haihusiani na JPM
 
Haijalishi kuwa wewe ni Dogo, Braza au Dingi, au Kikongwe.... Cha msingi jua kuwa Mzee wa Chato alikuwa Rais bora, imagine miaka 5 tu, Bongo ilianza kutoka kwenye ubongonyoso, tukaanza kuingia kwenye ubongoraha... Tukaanza kuwa Recognized, Watalii wakaanza kutua, Miradi ikaanza kutembea, Serikali ikaamia Dodoma, Treni ya SGR na Bwawa la umeme likaanza kujengwa, Daraja refu Afrika mashariki pale mwanza, Meli kubwa ziwa Victoria, MV hapa kazi tu... Rushwa ilianza kupotea maana, mchizi wangu mmoja naye alikamatwa kwa rushwa, ata mwananchi wa kawaida akaanza kuheshimika... Yule mwamba apumzike tu... Ukipinga huu ukweli, wewe unatakiwa ukapimwe akili uenda akili zako ni moja kasoro robo
Mkuu na pale wami daraja jipya likajengwa chaap na roho za umauti zikakoma kuwaandama madereva wa malori na mabasi na abiria wao.
 
January Makamba, mtoto wa Katibu Mkuu mstaafu wa CCM amekuwa akiandamwa katika mitandao mingi ya kijamii na kujaribu kuaminisha umma ya kuwa ni mtu hafai katika uongozi.

Binafsi Makamba nilimuona wakati wa utawala wa Kikwete akiwa ni mmoja wapo wa wasaidizi wa Rais Kikwete.

Mwenye ushahidi wa wazi kuhusu mabaya yake atuwekee hapa ingawa mimi namuona ni mtu humble, focused na mwenye uvumilivu.
huyu bwana wengi wanamchukia na hawana ushahidi wowote
 
January Makamba, mtoto wa Katibu Mkuu mstaafu wa CCM amekuwa akiandamwa katika mitandao mingi ya kijamii na kujaribu kuaminisha umma ya kuwa ni mtu hafai katika uongozi.

Binafsi Makamba nilimuona wakati wa utawala wa Kikwete akiwa ni mmoja wapo wa wasaidizi wa Rais Kikwete.

Mwenye ushahidi wa wazi kuhusu mabaya yake atuwekee hapa ingawa mimi namuona ni mtu humble, focused na mwenye uvumilivu.
Kuna wale tunaoamini kuwa January ndye Kigogo 14 aliyekuwa anajitahidi kuonesha Jiwe Mwamba Magufuli alikuwa ni Kiongozi mbaya nchini kwa kutoa Siri na taarifa mbalimbali mbaya dhidi yake. Sasa hivi mambo yamemgeukia kama vile Waingereza wasemavyo, What goes around, comes around!
 
January Makamba, mtoto wa Katibu Mkuu mstaafu wa CCM amekuwa akiandamwa katika mitandao mingi ya kijamii na kujaribu kuaminisha umma ya kuwa ni mtu hafai katika uongozi.

Binafsi Makamba nilimuona wakati wa utawala wa Kikwete akiwa ni mmoja wapo wa wasaidizi wa Rais Kikwete.

Mwenye ushahidi wa wazi kuhusu mabaya yake atuwekee hapa ingawa mimi namuona ni mtu humble, focused na mwenye uvumilivu.
Unataka ushaidi kwani hapa ni mahakamani
 
Binafsi simchukii, sema January bila lile jina la Makamba basi angekuwa muosha Magari au kinyozi. Mwanangu huwa ananiambia hizi kazi hazihitaji kabisa uwe intelligent.
 
Kampeni za mitataoni zinaendeshwa na genge moja linalotaka urais. Wanamuona January Makamba kama tishio. Hivyo wanataka kumdhoofisha kwa kuwaaminisha watu kuwa hafai. Na wengine wanafuata mkumbo bila kujua kilichoko nyuma ya hizo tuhuma.

January ni presidential material.
Unajidanga sana kijana Makamba jr ni mmoja wa vijana wa hovyo kuwai kutokea enzi za JK walikuwa miungu watu wakifuta mtoto wa JK na nape Jr

Jecha alivyofuta uchanguzi zanzibar akaesema ccm hauwezi toka madarakani kwa njia ya karatasi
 
Ngoja tuone sasa iwapo tatizo la kukatikakatika kwa umeme litakoma.

Tutajua tatizo lilikuwa ni mtu au mfumo mzima?!

Niko pale nasikilizia mrejesho.
 
Back
Top Bottom