2020 Rais Samia 84% na Tundu Lisu 13%
2025 Rais Samia 98% na Tundu Lisu 1% ( Utabiri)
Aisee... Mwamba kafungukaCHUKI YA WAZI YA MBUNGE BASHIRU ALLY KWA SERIKALI YA MAMA SAMIA
CHUKI na Uchochezi hautakusaidia Dr. BASHIRU ALLY aliyewahi Kuwa Katibu Mkuu wa CCM.
Serikali ya awamu ya Sita chini ya Mhe. Rais SAMIA Suluhu Hassan imekuwa Mkombozi kwa wakulima nchini tunaona jinsi serikali inavyopambana katika kuwainua Wakulima kwa kutoa Mbolea za ruzuku, Kufuta tozo zilizokuwa KERO kwa wakulima nchini, Kutafuta masoko ya mazao Nje ya nchi tumeshuhudia kwa mara ya kwanza Maparachichi kuuzwa Moja kwa Moja Nchini China.. Sasa Hivi vyote unataka wakulima wasipongeze yanayofanyika. Hizi ni chuki za wazi kwa Mbunge BASHIRU ALLY kwa serikali ya awamu ya 6.
Tunakumbuka katika Serikali ya awamu ya 5 chini ya Hayati Magufuli huyu huyu BASHIRU Kila alipokuwa anahutubia hakuacha kusifia maziri ya Magufuli ila Leo nini KIMEMKUMBA BASHIRU ALLY?
Acha wakulima waone na kusifia mazuri ya awamu ya 6 ambayo hapo nyuma hayajawahi kufanyika.
#MamaAnaupigaMwingi
Anatumbuliwa kesho tu anarudi kuchoma Mkaa.Dr Bashiru ashikilie hapohapo
Mpina kakosoa mkamfyekelea mbali 😀Kupingana na Kukosoana ndio njia sahihi ya kukijenga Chama
Rangi yake kamili ilikuwa enzi za jiwe. Hii unayo iona sasa ni kwa sababu ya jinyongo na njaaNi bora sana kaonesha rangi yake kamili...kuliko angeendelea kuishi kinafiki..
Linapokuja swala la Mwendazake huwa nampinga kwa hoja na mifano ya ufisadi na failures zake..Ndio nimekupa mfano wa Nongwa Yako kwa marehemu Shujaa!
Sabato njema
Alikaa kimya mkaanza kuuliza Mbona yupo KimyaSerikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imekuwa mkombozi kwa wakulima nchini, tunaona jinsi serikali inavyopambana katika kuwainua wakulima kwa kutoa mbolea za ruzuku, kufuta tozo zilizokuwa kero kwa wakulima nchini, kutafuta masoko ya mazao nje ya nchi; tumeshuhudia kwa mara ya kwanza maparachichi kuuzwa moja kwa moja nchini China.
Sasa hivi vyote unataka wakulima wasipongeze yanayofanyika? Hizi ni chuki za wazi kwa Mbunge Bashiru Aally kwa serikali ya awamu ya 6.
Tunakumbuka katika serikali ya awamu ya 5 chini ya Hayati Magufuli huyu huyu Bashiru kila alipokuwa anahutubia hakuacha kusifia mazuri ya Magufuli ila leo nini kimemkumba Bashiru Ally?
Acha wakulima waone na kusifia mazuri ya awamu ya 6 ambayo hapo nyuma hayajawahi kufanyika.
View attachment 2420819
#MamaAnaupigaMwingi
Kumbe wewe ni mbunge unayewawakilisha wakulima, kwahiyo kuuza maparachichi uchina matatizo ya wananchi yamekwisha, asante.Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imekuwa mkombozi kwa wakulima nchini, tunaona jinsi serikali inavyopambana katika kuwainua wakulima kwa kutoa mbolea za ruzuku, kufuta tozo zilizokuwa kero kwa wakulima nchini, kutafuta masoko ya mazao nje ya nchi; tumeshuhudia kwa mara ya kwanza maparachichi kuuzwa moja kwa moja nchini China.
Sasa hivi vyote unataka wakulima wasipongeze yanayofanyika? Hizi ni chuki za wazi kwa Mbunge Bashiru Aally kwa serikali ya awamu ya 6.
Tunakumbuka katika serikali ya awamu ya 5 chini ya Hayati Magufuli huyu huyu Bashiru kila alipokuwa anahutubia hakuacha kusifia mazuri ya Magufuli ila leo nini kimemkumba Bashiru Ally?
Acha wakulima waone na kusifia mazuri ya awamu ya 6 ambayo hapo nyuma hayajawahi kufanyika.
View attachment 2420819
#MamaAnaupigaMwingi
Wewe kwa akili yako ya kawaida unaona nchi inaendelea au inarudi nyuma? Twende mbele turudi nyuma,magufuli hakuwa malaika ila alifanya makubwa
Na huko UWT, UVCCM & NEC Taifa wajumbe wote waliokuwa wanamuunga mkono na wanaomuunga mkono ka simu wanaenda kupigwa na kitu kisichotabirika.Mpina kakosoa mkamfyekelea mbali 😀
2025 ndio utajua hujuwi!Umechanganyikiwa, 2020 labda ungemuweka Mwalimu.
Timu Samia shikilieni hapo hapo na nyie timu mwenda zake jaribuni kukaza kidogoVita ya wenyewe kwa wenyewe, ya ccm tunawaachia wenyewe
Unataka kila Mtanzania awe Chawa na Kiroboto wa CCM?Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imekuwa mkombozi kwa wakulima nchini, tunaona jinsi serikali inavyopambana katika kuwainua wakulima kwa kutoa mbolea za ruzuku, kufuta tozo zilizokuwa kero kwa wakulima nchini, kutafuta masoko ya mazao nje ya nchi; tumeshuhudia kwa mara ya kwanza maparachichi kuuzwa moja kwa moja nchini China.
Sasa hivi vyote unataka wakulima wasipongeze yanayofanyika? Hizi ni chuki za wazi kwa Mbunge Bashiru Aally kwa serikali ya awamu ya 6.
Tunakumbuka katika serikali ya awamu ya 5 chini ya Hayati Magufuli huyu huyu Bashiru kila alipokuwa anahutubia hakuacha kusifia mazuri ya Magufuli ila leo nini kimemkumba Bashiru Ally?
Acha wakulima waone na kusifia mazuri ya awamu ya 6 ambayo hapo nyuma hayajawahi kufanyika.
View attachment 2420819
#MamaAnaupigaMwingi
Ile ya Magu ilikuwa ni ya kinafiki..Rangi yake kamili ilikuwa enzi za jiwe. Hii unayo iona sasa ni kwa sababu ya jinyongo na njaa
Nitake radhi mkuu, yaani kweli ndio unanishusha hadhi kiasi hicho kuniita mimi team sa100 na timu mwendazakeTimu Samia shikilieni hapo hapo na nyie timu mwenda zake jaribuni kukaza kidogo
Mchezo bado wa wazi kabisa, wacha ball litembee.
Kinafiki ukandamize watu?Ile ya Magu ilikuwa ni ya kinafiki..
HahahaSerikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imekuwa mkombozi kwa wakulima nchini, tunaona jinsi serikali inavyopambana katika kuwainua wakulima kwa kutoa mbolea za ruzuku, kufuta tozo zilizokuwa kero kwa wakulima nchini, kutafuta masoko ya mazao nje ya nchi; tumeshuhudia kwa mara ya kwanza maparachichi kuuzwa moja kwa moja nchini China.
Sasa hivi vyote unataka wakulima wasipongeze yanayofanyika? Hizi ni chuki za wazi kwa Mbunge Bashiru Aally kwa serikali ya awamu ya 6.
Tunakumbuka katika serikali ya awamu ya 5 chini ya Hayati Magufuli huyu huyu Bashiru kila alipokuwa anahutubia hakuacha kusifia mazuri ya Magufuli ila leo nini kimemkumba Bashiru Ally?
Acha wakulima waone na kusifia mazuri ya awamu ya 6 ambayo hapo nyuma hayajawahi kufanyika.
View attachment 2420819
#MamaAnaupigaMwingi