Chuki na uchochezi wa Dr. Bashiru Ally kwa serikali ya Rais Samia

Chuki na uchochezi wa Dr. Bashiru Ally kwa serikali ya Rais Samia

Lakini hata saa mbovu kuna wakati huwa inasema ukweli katika saa 24 ?!
Umekariri.

Kuna saa mbovu ambazo kamwe hasisemi ukweli.

wp-1465368990964.jpg
 
Bashiri kwa sasa amerudia kuwa mjamaa. Anawahimiza wakulima waungane dhidi ya watawala wanyonyaji.

Haya anayotamka asingeweza kuyatamka enzi akiwa madhabahuni mwa awamu ya 5. Huyu mtu ni kigeugeu sana
Kuna haja ya kujadili kipindi akiwa kwenye nafasi au tujadili hoja na hawa wakulima wanapate haki yao bila kunyonywa?

Je watanzania tutajikomboa kutoka kwa mafisadi kwa akili hizi tunazotumia kweli?

tutabaki kujadili yaliyopita badala ya nini tuamue kwa sasa na muda haurudi nyuma.

Tutaumia sana.
Tanzania nchi yangu
 
Wewe ni mkulima?
Heka ya mpunga inahitaji mbolea mifuko mingapi?
Heka moja ya mahindi inahitaji mbolea mifuko mingapi?.
Heka moja ya mpunga inatoa kiasi gani cha mavuno?
Heka moja ya mahindi inatoa kiasi gani cha mavuno?

Kipindi mbole ikiwa Tsh 70000 na bei ya gunia moja la debe 7 la mahindi likiuzwa Tsh 35000,faida ya mkulima ilikuwa Tsh ngapi kwa mauzo ya heka?

Sasa mbolea ni Tsh 140000 na bei ya gunia moja la debe 7 la mahindi linauzwa Tsh 90000,faida ya mkulima ni Tsh ngapi kwa mauzo ya heka?

Naomba majibu.
Hahaaaa mkuu umetisha.baelezee wamekalia kuwa negative kwa Kila kinachofanywa na selikali ya Mama Samia.
 
Inaendelea kwa spidi kubwa. Ajira sasa hivi zimejaa na zimemwagwa Kama karanga wakati kipindi Cha jpm tulikuwa tunakejeliwa tu kwamba tujiajiri kupitia umachinga. Hata shule tu ulikuwaukienda kuomba ajira enzi zile za jpm unaambia hata waliopo wanapu guzwa kwa hiyo no room. Sasa hivi mashule yote yanatangaza ajira ushindwe mwenyewe
Asanteee mkuu unanikosha kwa majibu yako murua kwa hawa wajane wa jiwe
 
Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imekuwa mkombozi kwa wakulima nchini, tunaona jinsi serikali inavyopambana katika kuwainua wakulima kwa kutoa mbolea za ruzuku, kufuta tozo zilizokuwa kero kwa wakulima nchini, kutafuta masoko ya mazao nje ya nchi; tumeshuhudia kwa mara ya kwanza maparachichi kuuzwa moja kwa moja nchini China.

Sasa hivi vyote unataka wakulima wasipongeze yanayofanyika? Hizi ni chuki za wazi kwa Mbunge Bashiru Aally kwa serikali ya awamu ya 6.

Tunakumbuka katika serikali ya awamu ya 5 chini ya Hayati Magufuli huyu huyu Bashiru kila alipokuwa anahutubia hakuacha kusifia mazuri ya Magufuli ila leo nini kimemkumba Bashiru Ally?

Acha wakulima waone na kusifia mazuri ya awamu ya 6 ambayo hapo nyuma hayajawahi kufanyika.
View attachment 2420819

#MamaAnaupigaMwingi
Akili ndogo kujadili akili kubwa za kiwango cha PhD ni upuuzi tu. Hizi tabia za uchawa na ukasuku kusifia kila kitu mmeziokota wapi?.
 
Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imekuwa mkombozi kwa wakulima nchini, tunaona jinsi serikali inavyopambana katika kuwainua wakulima kwa kutoa mbolea za ruzuku, kufuta tozo zilizokuwa kero kwa wakulima nchini, kutafuta masoko ya mazao nje ya nchi; tumeshuhudia kwa mara ya kwanza maparachichi kuuzwa moja kwa moja nchini China.

Sasa hivi vyote unataka wakulima wasipongeze yanayofanyika? Hizi ni chuki za wazi kwa Mbunge Bashiru Aally kwa serikali ya awamu ya 6.

Tunakumbuka katika serikali ya awamu ya 5 chini ya Hayati Magufuli huyu huyu Bashiru kila alipokuwa anahutubia hakuacha kusifia mazuri ya Magufuli ila leo nini kimemkumba Bashiru Ally?

Acha wakulima waone na kusifia mazuri ya awamu ya 6 ambayo hapo nyuma hayajawahi kufanyika.
View attachment 2420819

#MamaAnaupigaMwingi
Siyo chuki bali njaa humfunza mtu,yale yale tuliyokuwa tunalalamikia yamemkuta sasa,ajitahidi kujua kuwa ulimwengu ni ule ule ila sisi ni wapitaji,hivyo tunamsihi aje tuungane ili tuweze kuiondoa CCM ambayo inataka kufanya nchi hii kuwa mali ya baadhi ya familia za viongozi.
 
Umekariri.

Kuna saa mbovu ambazo kamwe hasisemi ukweli.

wp-1465368990964.jpg


Huo sio ubovu sasa ni kufa kabisa !

Kuna tofauti ya ubovu na kufa (kutokufanya kazi kabisa)

Kuna tofauti ya kuumwa/kuugua na kufa.

Upo @ Mwanakwetu [emoji2369]

Sasa unaweza kuona mimi na wewe ni nani atakuwa amekariri hasa?! [emoji848][emoji38]
 
Umekariri.

Kuna saa mbovu ambazo kamwe hasisemi ukweli.

wp-1465368990964.jpg



Ongeza upeo!

Huo hautakua ubovu bali ni kufa kabisa!

Kuna tofauti ya saa mbovu na saa ilokufa.

Mbovu inaweza kutengenezeka ikafanya kazi vizuri lakini ilokufa inakuwa beyond repair [emoji3][emoji28]

Upo Nyonyo [emoji2369][emoji108]

Sasa ona nani amekariri kati yangu na wewe?! [emoji38]
 
Hiyo bei ya sh 90,000 ni farm gate price? Ili analysis iwe na mantiki tolea mfano wilaya moja na utupe bei ya mkulima, alichovuna na bei ya, mbolea kwa vipindi viwili tofauti
Nipo wilaya ya Kaliua mkoa wa Tabora na ninauza mahindi hayo mimi mwenyewe niliyovuna mwezi wa sita.

Naomba jibu maswali yangu hapo juu.Maana mnaongeaongea tu huku field hampo.
 
Huna unachojua, hivyo kaa utulie.
Kwa akili Yako finyu unataka kusema mbolea zimepanda bei baada ya mahindi kupanda bei?

Unadhani wakati mfuko wa mbolea ulipokuwa unauzwa 55,000 mahindi bei ilikuwa haifiki 90k?
Acheni kuwa mbasifia vitu vya kijinga
Umejibu maswali niliyouliza?
Jibu maswali hayo niliyokuuliza.
Field husiyo ifanyia kazi unawezaje iongelea!.

Leta majibu acha kurukaruka.
 
Hahaaaa mkuu umetisha.baelezee wamekalia kuwa negative kwa Kila kinachofanywa na selikali ya Mama Samia.
Kumbuka kipindi hicho mchele kaukufika 3000,mafuta lita haikufika 7000,unga kilo haikifika 2300.

Maisha yalikuwa chep sana kwa watanzania walio wengi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hahaaaa mkuu umetisha.baelezee wamekalia kuwa negative kwa Kila kinachofanywa na selikali ya Mama Samia.
Watu maisha yao ni ya mjini na wala kilimo hawakijui,lakini midomo mirefu kumuongelea mkulima ambaye ameumizwa na ukosefu wa masoko na bei ndogo.Leo yeye aliyekuwa anafurahia kununua kg 1 ya mchele 1000,hakujishughulisha na kujua mimi mkulima niliuza hiyo kg 1 kwa Tsh ngapi hadi imemfikia kwa 1000!?.

Hawa ni watu wabinafsi tu,hawana lolote.
 
Kumbuka kipindi hicho mchele kaukufika 3000,mafuta lita haikufika 7000,unga kilo haikifika 2300.

Maisha yalikuwa chep sana kwa watanzania walio wengi.

#MaendeleoHayanaChama
Hivyo vyote vinalimwa,unaonaje ukiingia shamba ukajilimia na wewe!.

Ukitaka mahindi nitafute nikuuzie.Debe nauza Tsh 15000,nipo stoke yangu ipo kijiji cha Limbulakuzowa wilaya ya Kaliua mkoani Tabora.
Karibu sana.
 
Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imekuwa mkombozi kwa wakulima nchini, tunaona jinsi serikali inavyopambana katika kuwainua wakulima kwa kutoa mbolea za ruzuku, kufuta tozo zilizokuwa kero kwa wakulima nchini, kutafuta masoko ya mazao nje ya nchi; tumeshuhudia kwa mara ya kwanza maparachichi kuuzwa moja kwa moja nchini China.

Sasa hivi vyote unataka wakulima wasipongeze yanayofanyika? Hizi ni chuki za wazi kwa Mbunge Bashiru Aally kwa serikali ya awamu ya 6.

Tunakumbuka katika serikali ya awamu ya 5 chini ya Hayati Magufuli huyu huyu Bashiru kila alipokuwa anahutubia hakuacha kusifia mazuri ya Magufuli ila leo nini kimemkumba Bashiru Ally?

Acha wakulima waone na kusifia mazuri ya awamu ya 6 ambayo hapo nyuma hayajawahi kufanyika.
View attachment 2420819

#MamaAnaupigaMwingi
Eti bei za mbolea zimeshuka onaongea ukiwa wapi kwanza?
 
Hii nchi Ina wajinga wengi sana. Nimkukima Gani ambae amenufaika na hii serikali?

Kama hujyi kitu usikimbilie kuleta Uzi hapa.
Nitakuuliza maswali mawili na uninibu Kwa kutumia vielelezo,

1. Kati ya awamu ya 5 na ya6 mi awamu gani mbolea ilipanda Bei Kwa asilimia 100+?

2. Nitajie beinya parachi nchini wakati wa awamu ya 5 na ya 6

Swali la nyongeza; u ajua sasa hivi korosho inanunu, iwa shilingi ngapi kutoka Kwa mkulima baada ya kututangazia somo ka mareka I kimepatikan?
Cool down man, huyu ni CHAWA per se!
 
Back
Top Bottom