Chuki ya January Makamba kwa Hayati Magufuli sasa iko dhahiri

Chuki ya January Makamba kwa Hayati Magufuli sasa iko dhahiri

Kweli kabisa hasa ukizingatia na idadi ya wagonjwa wa Afya ya akili kwa Watanzania imeongezeka, hawa wakiletewa hata papai na embe wakaambiwa na mgonjwa wa Afya ya akili mwenzao kagundua corona kwenye embe wanapiga makofi na wanamuita mwanasayansi wa Africa. Tunaacha vipi kumpenda chuma kiboko wa mabeberu na mwenye kumpa kila mtanzania Noah🤣🤣??
Ujinga ni tatizo kwa taifa.

Mapapai na maembe hayawezi kuwa na virusi vya korona?

Unajua principle ya upimaji wa korona kwa kutumia RT-PCR?
 
Ile nikushauri kitu, Magufuli akili kubwa sana,sasa ukiwa akili kisoda kamwe hutamwelewa,ata kama ulikuwa humpendi endelea kulamba ndimu na kunywa maji mengi
Lo! Nilambe ndimu kwa lilokwisha kufia mbali huko!!
Nlipata taabu likiwa hai, lkn sasa roho kwatu ni kulinanga tu.
limetunyanyasa likidhani litaishi milele!
Limetuachia nchi yetu wenyewe kwa raha zetu sasa hivi
 
Ccm wote ni paka tu. Ila makamba Jr. Yupo sahihi DIKTETA MAGUFULI ni wakulaaniwa Kila dakika. Chuki dhidi yake Inazidi ukigundua athari zake zitachukua Zaid ya miaka 15 kuisha
Kuna mambo unahitaji kusahihisha
1. CCM wote siyo ''paka tu'' bali ni mafisi.
2. Makamba hayuko sahihi, siyo kwa sababu Magufuli alikuwa mzuri, la hasha. Hayuko sahihi kwa sababu alimchukia Magufuli kwa kukosa kumpa cheo alichotaka. Kwa kifupi anatetea tumbo lake na ana tamaa kama fisi.
 
Ccm wote ni paka tu. Ila makamba Jr. Yupo sahihi DIKTETA MAGUFULI ni wakulaaniwa Kila dakika. Chuki dhidi yake Inazidi ukigundua athari zake zitachukua Zaid ya miaka 15 kuisha
Na mzimu wa Mwendazake utaendelea kukusukumia nyama kila siku mpaka unadedi choqo ww
 
Huyo jamaa zaidi ya kunyoa kipara. Hakuna jambo la maana amefanya kwenye wizara aliyopewa.
.
 
Kabla unabii kutimia nabii siku zote huonekana tapeli bado muda mchache kabla ya wanaomkosoa Hayati Magufuli kumuona nabii
Sio kiongozi wa malaika tena Bali nabii?
Mnamshusha cheo...
Nabii mwizi, muuwaji, mtekaji,mkabila, mdini? Huyo ni nabiishetwani
 
Kale ni kapuuzi tu kajinga hakana maana,mtu aliyeona JPM ni mbaya asiyefaa basi mtu huyo ana matatizo, sisi wananchi tuliona Kwa macho, hako kajamaa niliona clip yake kanaongea Bungeni baada ya msiba wa mzee, kalikua kamevaa kanzu kama sikosei, yani kalikua kanaongea kakionyesha chuki ya wazi iko ndani yake
Kana husuda, chuki na ubinafsi. Kaliamini kanastahili nafasi kubwa na za maamuzi nchini. Angalia mfano kalivyopewa nishati kakapangua kila kitu tanesco. Yaani kanaamini kako smart kuliko wengine anaowakuta.

Kanaamini kenyewe ni katoa amri wala sio ka kupewa amri.

Jk aliwahi kulalamika kuwa pamoja na kukaamini, kufanya nako kazi kwa takribani miaka kumi, kukapa nafasi nyeti, lakini kalipoenda kuchukua fomu ya urais hakakumshirikisha wala kumuhadithia JK.

Yaani unaishi na mshkaji wako ndani kisha unaona tu kwenye habari yupo ubalozi wa marekani anachukua viza aende marekani.
 
Kana husuda, chuki na ubinafsi. Kaliamini kanastahili nafasi kubwa na za maamuzi nchini. Angalia mfano kalivyopewa nishati kakapangua kila kitu tanesco. Yaani kanaamini kako smart kuliko wengine anaowakuta.

Kanaamini kenyewe ni katoa amri wala sio ka kupewa amri.

Jk aliwahi kulalamika kuwa pamoja na kukaamini, kufanya nako kazi kwa takribani miaka kumi, kukapa nafasi nyeti, lakini kalipoenda kuchukua fomu ya urais hakakumshirikisha wala kumuhadithia JK.

Yaani unaishi na mshkaji wako ndani kisha unaona tu kwenye habari yupo ubalozi wa marekani anachukua viza aende marekani.
Ilikuwa ubunge, sio urais, pindi hicho Jr alikuwa mwandishi msaidiz wa hotuba za Jk, We unadhan ni rahis kumuaga kila mtu ukitaka kufanya kitu Fulani..Jr Kwa JK ni kama Mtoto, sio rahis Mtoto kumshirikisha mshua kila Kitu
 
Ilikuwa ubunge, sio urais, pindi hicho Jr alikuwa mwandishi msaidiz wa hotuba za Jk, We unadhan ni rahis kumuaga kila mtu ukitaka kufanya kitu Fulani..Jr Kwa JK ni kama Mtoto, sio rahis Mtoto kumshirikisha mshua kila Kitu
Mi nazungumzia 2015 mkuu.
 
Mi nazungumzia 2015 mkuu.
Hyo statement J.k aliitoa mwaka 2010, Baada ya Jr kushinda kura za maoni Kwa kishindo na babake pindi hicho alikuwa katibu Mkuu CCM.
so sidhan angeweza rudia Tena 2015....huo ndo ukweli
 
Nadhani chuki ya kweli ni Kati yako mleta uzi na Makamba. Sio hivyo ulivyowaza
Tena wakati ule wa yule Dikteta, huyu mleta thread hii, ndiye aliyekuwa bingwa wa kutukana wapinga udikteta hapa JF!
Atulie tu! Zamu ya wenzie nao wapumue!
 
Na mzimu wa Mwendazake utaendelea kukusukumia nyama kila siku mpaka unadedi choqo ww
Mzimu🥸🥸 kumbe mtaalam wa kufanya watu waishi kama mashetani kuna mzimu wake wewe unawasiliana nao na kuuona ukiwa kazini ukisumbua watu. Unatisha kuliko mkuu wa malaika, au wewe ndo ulimgawia kamzimu kamoja mkuu🤣
 
Sasa wee unaona yule ana akili afu uzuri wake mtaani watu wanamdharau na yeye ndiyo anaonekana kituko wizara imemshinda na ni wote na mwenzie
 
Hyo statement J.k aliitoa mwaka 2010, Baada ya Jr kushinda kura za maoni Kwa kishindo na babake pindi hicho alikuwa katibu Mkuu CCM.
so sidhan angeweza rudia Tena 2015....huo ndo ukweli
Umechanganya ndugu. Magu ye alimuambia kikwete anataka akachukue fomu. January alichukua kimya kimya.

Hiyo ya 2010 alitumia millioni 300 kumtoa william shelukindo kule bumbuli na baba akiwa KM alibariki.
 
Back
Top Bottom