Chuki ya January Makamba kwa Hayati Magufuli sasa iko dhahiri

Chuki ya January Makamba kwa Hayati Magufuli sasa iko dhahiri

Uchumi kuzuia kuajiri vijana kwa miaka sita!
Kuzuia kutupandisha mishahara watumisha kwa miaka sita!
Kuzuia kutupandisha madaraja watumishi kwa miaka sita!
Uchumi kujaza wamachinga mabarabarani!
Mshamba yule ndio unasema eti kuna alichofanya kuinua uchumi!?
Aliua uchumi huyu wa sasa kaja kuuzika kabisa
 
Watanzania wengi tunajua Magufuli aliipenda nchi yake, na tunampenda kwa hilo.
Na ndiyo maana hata sisi wana CCM tunajifanya mazezeta tu tunawaangalia maana ukichonga wanakuua kimya kimya ila kila anayempinga Dkt Magufuli ananyimwa kura, na bado 2025 wala siyo Mama Samia wala siyo wanaompinga Dkt Magufuli, ataibuka mtu tofauti na wakishupaza shingo nchi itaenda upinzani kwa sababu ya Dkt Magufuli.
 
Nabii gani wa mchongo kama huyo ambaye aliwabana wananchi maisha yakawa magumu akabana wapinzani na kujifanya mzalendo halafu yeye kajilimbikizia mali nyingi akiwa madarakani
nenda pale Chato ukaone lile hotel la ghorofa 6 na hifadhi ya wanyama vyote unaambiwa ni mali ya mzee hayati rais wa wanyonge!
Kwahiyo maisha yako yamekuwa rahisi baada ya Magu kuondoka😃!?
Kwahiyo wapinzani wapo huru sasa ndiomana hatuwasikii tena😅!?
 
Elewa nchi ilikuwa mufilisi wewe, alikuwa ameiharibu sana nchi we kiumbe!
Kwahiyo hivi sasa nchi ina hali nzuri kiuchumi?mbona tumeporomoka kutoka uchumi wa kati?
mbona mfumuko wa bei za bidhaa kila kona?
Upatikanaji wa huduma ya maji kwa Dar hivi sasa ni shida.
Bei za umeme kupanda,
Ajali za barabarani karibia kila siku,
Mauaji, ubakaji yote yametamalaki.
Au unafuu kwako umeuona kwenye nyanja zipi?
 
Kwahiyo hivi sasa nchi ina hali nzuri kiuchumi?mbona tumeporomoka kutoka uchumi wa kati?
mbona mfumuko wa bei za bidhaa kila kona?
Upatikanaji wa huduma ya maji kwa Dar hivi sasa ni shida.
Bei za umeme kupanda,
Ajali za barabarani karibia kila siku,
Mauaji, ubakaji yote yametamalaki.
Au unafuu kwako umeuona kwenye nyanja zipi?
Bila kusahau TOZO aisee mioyo inavuja damu
 
hata ningekuwa mimi nigefukuza mamluki wote, maana mamluki ndani ya utendaji ndio hukwamisha dhamira njema ya kufikia maendeleo.
Sasa mbona hatuoni hayo maendeleo baada ya kufukuza mamluki zaidi ya kero kuongezeka na yeye kubaki akitoa utetezi usio na tija?
 
Itoshe tu kusema, Hatoshi kwenye utendaji,hajawahi kuonyesha uwezo wowote kwenye wizara yoyote iliyowahi kuwa chini yake .
U much know mwingi baada ya kulewa sifa za machawa kuwa yupo bright, lkn hamna kitu mule.
 
Fake certificates
usipige hoja rungu wewe.... kuhoji mabaya ya mtu na vyeti feki vinahusiana nanini?
mbona makonda alikuwa na vyeti feki na aliambiwa achape kazi na huyo chizi wenu?
 
Huyo majamba sijui makambale akiendelea kumchafua magu tutamsgughulikia sisi watz wazalendo
unauzalendo gani wewe? ulishawahi kufanya jambo gani kwa manufaa ya nchi ili tujue kweli wewe ni mzalendo
note: sina vyeti feki mm
 
Timu gaidi tulieni
unaweweseka tu punguani wewe..... GAIDI KESHATWALIWA NA MUNGU MUUMBA YUPO CHATTO KABURINI
kamfufue ila ujue wapenda haki hawataki hata kulisikia hilo dubwasha
 
unaweweseka tu punguani wewe..... GAIDI KESHATWALIWA NA MUNGU MUUMBA YUPO CHATTO KABURINI
kamfufue ila ujue wapenda haki hawataki hata kulisikia hilo dubwasha
Mimba ya wana chato itakutesa mpaka kufa
 
CHUKI YA MAKAMBA KWA HAYATI MAGUFULI IKO WAZIWAZI.

Pamoja na kwamba hayati Magufuli alitangaza hadharani kwamba amewasamehe lakini kwa mambo yanavyoenda sasa hivi ni dhahiri Makamba na Nape waliomba msamaha kinafiki na walipokea msamaha kinafiki pia.

Makamba alipoteuliwa tu uwaziri wa nishati kazi ya kwanza ilikuwa ni kwenda kufukuza ma electrical engeneers wote pale Tanesco na alipoulizwa kwa nini unafukuza watendaji wote ? Akajibu hataki kufanya kazi na watu walioteuliwa na Magufuli!!, leo ni miaka miwili imepita lakini kila tatizo linapoibuka pale Tanesco , Makamba husema sababu ni Magufuli alilazimisha mashine kuwaka bila kufanyia service!

Chuki ya Makamba kwa Magufuli imesababisha miradi yote ya Tanesco kuzorota kwa kasi, mgao wa umeme, usambazaji umeme vijijini ni kama haupo kila kukicha ni visingizio vya kila aina.
Umemuona Januari peke yake? Magufuli anachukiwa sana na watu wenye akili na uwezo wa kuchambua mambo. Ila wajinga ambao ndiyo mko wengi Tanzania mnampenda kwa vile alisemayeye i mtetezi wa wanyonge. Kama umeamua kujiita mnyonge hatuna msaada kwako
 
Umemuona Januari peke yake? Magufuli anachukiwa sana na watu wenye akili na uwezo wa kuchambua mambo. Ila wajinga ambao ndiyo mko wengi Tanzania mnampenda kwa vile alisemayeye i mtetezi wa wanyonge. Kama umeamua kujiita mnyonge hatuna msaada kwako
Mimba uliyodungwa na Magufuli itakutesa mpaka kufa
 
Bora hii simbilisi imepigwa ban.inatujazia server bure kwa mashudu yake.
 
Mimba uliyodungwa na Magufuli itakutesa mpaka kufa
kama wewe uliyo tungwa na Lisu, mboqw na lema
hahaha unajuaje kwamba wanaume wanatungwa mimba kama weye hujawahi yakheeee
KAMFUFUE UZIKWE WEWE MZEE BABA
 
Back
Top Bottom