Nabii gani wa mchongo kama huyo ambaye aliwabana wananchi maisha yakawa magumu akabana wapinzani na kujifanya mzalendo halafu yeye kajilimbikizia mali nyingi akiwa madarakaniKabla unabii kutimia nabii siku zote huonekana tapeli bado muda mchache kabla ya wanaomkosoa Hayati Magufuli kumuona nabii
Pesa wakati wa Magufuli ilikuwa na thamani kubwa kulinganisha na sasa hata kama hakuongeza mshahara.Uchumi kuzuia kuajiri vijana kwa miaka sita!
Kuzuia kutupandisha mishahara watumisha kwa miaka sita!
Kuzuia kutupandisha madaraja watumishi kwa miaka sita!
Uchumi kujaza wamachinga mabarabarani!1
Mshamba yule ndo unasema eti kuna alichofanya kuinua uchumi!?
Kajinga sana kale kajamaa na ndiyo maana kalikua kanahusishwa na ile acc ya KIGOGO, na yamkini ndiyo kenyeweKana husuda, chuki na ubinafsi. Kaliamini kanastahili nafasi kubwa na za maamuzi nchini. Angalia mfano kalivyopewa nishati kakapangua kila kitu tanesco. Yaani kanaamini kako smart kuliko wengine anaowakuta.
Kanaamini kenyewe ni katoa amri wala sio ka kupewa amri.
Jk aliwahi kulalamika kuwa pamoja na kukaamini, kufanya nako kazi kwa takribani miaka kumi, kukapa nafasi nyeti, lakini kalipoenda kuchukua fomu ya urais hakakumshirikisha wala kumuhadithia JK.
Yaani unaishi na mshkaji wako ndani kisha unaona tu kwenye habari yupo ubalozi wa marekani anachukua viza aende marekani.
Nchi ya Chato??? Bila chembe ya aibu aliipenda sana!! mchana kweupee!Watanzania wengi tunajua Magufuli aliipenda nchi yake, na tunampenda kwa hilo.
Huu ndiyo ukweli. Thread ifungweee!Nadhani chuki ya kweli ni Kati yako mleta uzi na Makamba. Sio hivyo ulivyowaza
yuko sahihi sababu na wewe ni wale wale wa kundi la mamba.CCM wote ni paka tu. Ila Makamba Jr. Yupo sahihi DIKTETA MAGUFULI ni wakulaaniwa Kila dakika. Chuki dhidi yake Inazidi ukigundua athari zake zitachukua Zaid ya miaka 15 kuisha.
Kama mjomba Magu angewapa/kuwakopesha mitaji yenye mashiko wajasilimali hasa wamachinga milioni 2 tu katika nyanja za ukulima,ufugaji na uvuvi,badala ya kununua wapinzani na kuzamisha pesa Dodoma.Pale angekuwa amecheza kama PELE.Wangetengeneza ajira zinazooneka milioni 4.au zaidi na kuongeza kipato baadhi ya makundi ya vijana.Uchumi kuzuia kuajiri vijana kwa miaka sita!
Uchumi kujaza wamachinga mabarabarani!
Mshamba yule ndio unasema eti kuna alichofanya kuinua uchumi!?
Hakuna kiumbe kitanibadirisha juu ya chuma. Ni dhahri aliipenda nchi yake mengine ni maigizoWatanzania wengi tunajua Magufuli aliipenda nchi yake, na tunampenda kwa hilo.
Good Idea.Kuanzisha dini au thehebu sku izi ni bei nafuu na ni nafuu sana kuanzisha ebu niwape wazo wana Mwendazake
Why msifuatilie vibali muanzishe kanisa la Jiwe assembly of god maana mkiwa na kanisa itakua rahis kuubili na kutunza legacy yake
Mshapewa wazo hapa, anzisheni kanisa la Jiwe Assemblies Of God..Hakuna kiumbe kitanibadirisha juu ya chuma. Ni dhahri aliipenda nchi yake mengine ni maigizo
Inabidi wayafanye hivi sasa ambayo Magufuli hakufanya tuwaone wao wanaume kweli.Kama mjomba Magu angewapa/kuwakopesha mitaji yenye mashiko wajasilimali hasa wamachinga milioni 2 tu katika nyanja za ukulima,ufugaji na uvuvi,badala ya kununua wapinzani na kuzamisha pesa Dodoma.Pale angekuwa amecheza kama PELE.Wangetengeneza ajira zinazooneka milioni 4.au zaidi na kuongeza kipato baadhi ya makundi ya vijana.
Madhara gani uliyapata BOSS? Ambayo yatakuchukua miaka 15? Be specific.CCM wote ni paka tu. Ila Makamba Jr. Yupo sahihi DIKTETA MAGUFULI ni wakulaaniwa Kila dakika. Chuki dhidi yake Inazidi ukigundua athari zake zitachukua Zaid ya miaka 15 kuisha.
Nadhani chuki ya kweli ni Kati yako mleta uzi na Makamba. Sio hivyo ulivyowaza
Aisee...!Marehemu bado ana washika watu hawana amani