Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Aliua uchumi huyu wa sasa kaja kuuzika kabisaUchumi kuzuia kuajiri vijana kwa miaka sita!
Kuzuia kutupandisha mishahara watumisha kwa miaka sita!
Kuzuia kutupandisha madaraja watumishi kwa miaka sita!
Uchumi kujaza wamachinga mabarabarani!
Mshamba yule ndio unasema eti kuna alichofanya kuinua uchumi!?
Na ndiyo maana hata sisi wana CCM tunajifanya mazezeta tu tunawaangalia maana ukichonga wanakuua kimya kimya ila kila anayempinga Dkt Magufuli ananyimwa kura, na bado 2025 wala siyo Mama Samia wala siyo wanaompinga Dkt Magufuli, ataibuka mtu tofauti na wakishupaza shingo nchi itaenda upinzani kwa sababu ya Dkt Magufuli.Watanzania wengi tunajua Magufuli aliipenda nchi yake, na tunampenda kwa hilo.
Kwahiyo maisha yako yamekuwa rahisi baada ya Magu kuondoka😃!?Nabii gani wa mchongo kama huyo ambaye aliwabana wananchi maisha yakawa magumu akabana wapinzani na kujifanya mzalendo halafu yeye kajilimbikizia mali nyingi akiwa madarakani
nenda pale Chato ukaone lile hotel la ghorofa 6 na hifadhi ya wanyama vyote unaambiwa ni mali ya mzee hayati rais wa wanyonge!
Kwahiyo hivi sasa nchi ina hali nzuri kiuchumi?mbona tumeporomoka kutoka uchumi wa kati?Elewa nchi ilikuwa mufilisi wewe, alikuwa ameiharibu sana nchi we kiumbe!
Ili iweje, legacy ya jiwe haitabolewa na wapumbaf, ila wale watakaoweza kugeuza shida za watanzania kuwa historia.Mshapewa wazo hapa, anzisheni kanisa la Jiwe Assemblies Of God..
Bila kusahau TOZO aisee mioyo inavuja damuKwahiyo hivi sasa nchi ina hali nzuri kiuchumi?mbona tumeporomoka kutoka uchumi wa kati?
mbona mfumuko wa bei za bidhaa kila kona?
Upatikanaji wa huduma ya maji kwa Dar hivi sasa ni shida.
Bei za umeme kupanda,
Ajali za barabarani karibia kila siku,
Mauaji, ubakaji yote yametamalaki.
Au unafuu kwako umeuona kwenye nyanja zipi?
Sasa mbona hatuoni hayo maendeleo baada ya kufukuza mamluki zaidi ya kero kuongezeka na yeye kubaki akitoa utetezi usio na tija?hata ningekuwa mimi nigefukuza mamluki wote, maana mamluki ndani ya utendaji ndio hukwamisha dhamira njema ya kufikia maendeleo.
Kwahiyo Masanja tunsameeKabla unabii kutimia nabii siku zote huonekana tapeli bado muda mchache kabla ya wanaomkosoa Hayati Magufuli kumuona nabii
usipige hoja rungu wewe.... kuhoji mabaya ya mtu na vyeti feki vinahusiana nanini?Fake certificates
unauzalendo gani wewe? ulishawahi kufanya jambo gani kwa manufaa ya nchi ili tujue kweli wewe ni mzalendoHuyo majamba sijui makambale akiendelea kumchafua magu tutamsgughulikia sisi watz wazalendo
unaweweseka tu punguani wewe..... GAIDI KESHATWALIWA NA MUNGU MUUMBA YUPO CHATTO KABURINITimu gaidi tulieni
Umemuona Januari peke yake? Magufuli anachukiwa sana na watu wenye akili na uwezo wa kuchambua mambo. Ila wajinga ambao ndiyo mko wengi Tanzania mnampenda kwa vile alisemayeye i mtetezi wa wanyonge. Kama umeamua kujiita mnyonge hatuna msaada kwakoCHUKI YA MAKAMBA KWA HAYATI MAGUFULI IKO WAZIWAZI.
Pamoja na kwamba hayati Magufuli alitangaza hadharani kwamba amewasamehe lakini kwa mambo yanavyoenda sasa hivi ni dhahiri Makamba na Nape waliomba msamaha kinafiki na walipokea msamaha kinafiki pia.
Makamba alipoteuliwa tu uwaziri wa nishati kazi ya kwanza ilikuwa ni kwenda kufukuza ma electrical engeneers wote pale Tanesco na alipoulizwa kwa nini unafukuza watendaji wote ? Akajibu hataki kufanya kazi na watu walioteuliwa na Magufuli!!, leo ni miaka miwili imepita lakini kila tatizo linapoibuka pale Tanesco , Makamba husema sababu ni Magufuli alilazimisha mashine kuwaka bila kufanyia service!
Chuki ya Makamba kwa Magufuli imesababisha miradi yote ya Tanesco kuzorota kwa kasi, mgao wa umeme, usambazaji umeme vijijini ni kama haupo kila kukicha ni visingizio vya kila aina.
Mimba uliyodungwa na Magufuli itakutesa mpaka kufaUmemuona Januari peke yake? Magufuli anachukiwa sana na watu wenye akili na uwezo wa kuchambua mambo. Ila wajinga ambao ndiyo mko wengi Tanzania mnampenda kwa vile alisemayeye i mtetezi wa wanyonge. Kama umeamua kujiita mnyonge hatuna msaada kwako
kama wewe uliyo tungwa na Lisu, mboqw na lemaMimba uliyodungwa na Magufuli itakutesa mpaka kufa