Chuki za Joseph Sinde Warioba dhidi ya serikali zilianza baada ya Kippi Warioba kuondolewa kwenye ukuu wa Wilaya

Labda kaona anazeeka anakaribia kufa asiposema sasa hatasema milele.

Ni haki yake ya kikatiba.

Jadili hoja. Usimjadili mtoa hoja.

Kumjadili mtoa hoja badala ya hoja ni ad hominem attack, logical fallacy, mara nyingi hufanywa na watu wasio na hoja.
Hoja ni kwa nini leo?
 
Kuna kipi kinaenda shaghala baghala leo na hakikufanyika awamu ya tano?
Usiishi kwa ulinganifu,leo ni leo na jana ni jana matukio ya awamu ya tano acha yawe ya awamu hiyo na tuliyonayo acha yawe ya sasa na kila mmoja apate hukumu inayomstahili.
 
Wapapase pua wasilete mambo yasiyo na kichwa wala miguu kwenye mambo ya .msingi
 
Kwan huyo mzee kakosea nn mbona anaongea vitu vpo waz vinaoneka uitaj kuwa na D MBILI
Hizi ni siasa za majitaka mkuu.

Warioba kaongea mambo ya msingi ambayo yasipozingatiwa yanaweza kuipasua nchi.

Chawa wa mitandaoni hawawezi kujibu hoja, wanajaribu kumpaka matope mtoa hoja.

Hapo ndipo uwezo wao ulipoishia.

Wasilojua ni kwamba kila wanapojaribu kumpaka matope Warioba, ndivyo wanavyozidi kumpaisha juu kwa kutukumbusha hoja zake.
 
Za ndaani kabisa ni kwamba Mzee Joseph Sinde Warioba chuki yake ilianza kuumuka baada ya mtoto wake kuondolewa kwenye nafasi ya ukuu wa Wilaya.

Kila akipata fursa lazima afurumushe makombora mazito, lakini chanzo ni hicho.
Nyie ndio mnasababisha Watz tuonekane wajinga kwa hizi mada za kiwaki namna hii.
 
Za ndaani kabisa ni kwamba Mzee Joseph Sinde Warioba chuki yake ilianza kuumuka baada ya mtoto wake kuondolewa kwenye nafasi ya ukuu wa Wilaya.

Kila akipata fursa lazima afurumushe makombora mazito, lakini chanzo ni hicho.
Halafu chuki zenyewe hazina maana, anaongea uongo, makombora ya kutunga, tuhuma dhidi ya si za kweli mana hali ni nzuri tu ya kidemokrasia!
 
Za ndaani kabisa ni kwamba Mzee Joseph Sinde Warioba chuki yake ilianza kuumuka baada ya mtoto wake kuondolewa kwenye nafasi ya ukuu wa Wilaya.

Kila akipata fursa lazima afurumushe makombora mazito, lakini chanzo ni hicho.
Chuki NI nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…