gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Hoja ni kwa nini leo?Labda kaona anazeeka anakaribia kufa asiposema sasa hatasema milele.
Ni haki yake ya kikatiba.
Jadili hoja. Usimjadili mtoa hoja.
Kumjadili mtoa hoja badala ya hoja ni ad hominem attack, logical fallacy, mara nyingi hufanywa na watu wasio na hoja.