Chukua Somo: Kama Umejenga/Upo kwako, Usipande miti ifuatayo..

Sasa mbona wanasema mbaazi inazuia uchawi hii vipi
 
Kwa hii post wachawi na wanga watakushambulia sana, na hivi serikali inawalinda kwa kusema hakuna uchawi, basi ya na operate freely huku waganga wanaowadhibiti wakihangaishwa na serikali
 
Mleta mada Hatuwezi panda mibuyu nyumbani sio kwa hayo matumizi uliyo orodhesha hapo. Bali ni kwakuwa mbuyu unamizizi mirefu na mikubwa mno na huwa juujuu .

Lakini ungejua kuwa mbuyu ni ingredient moja hatari kwa kutengeneza VAR za miwaya usinge andika huu uzi.

Ungejua pia Mbaazi huondosha maradhi yasiyo onekana kwa vipimo vya kizungu usinge upa ubaya
 
MADA WAPENDAZO MAMODERATORS WA JF😂😂😂😂


Ukiandika vitu vya kufikirisha ubongo wanapita na uzi haraka.Ila andika mapupu kama MAMBO YA USHOGA,UCHAWA,USHIRIKINA NA UCHAWI,KULANA KIMASIHARA hizo mada wala haziguswi🥱


🚨🚨🚨Hi nchi aliyetuloga kafa na kazikwa sayari ya pluto!!!!
 
Ingekuwa ni amri yangu watu masikini na wajingawajinga wote ningeamrisha wauliwe😀😀😀

🚨🚨🚨Watu wajinga na masikini ni hatari kuliko hatari yenyewe🤝🤝🤝
 
Mimi nikijenga nyumbani kwangu hapatakosa miti na nikikuta jirani kaugusa tutabadiliahana majengo ya serikali 😃
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…