King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
NASA hawajaiona kwenye RADA zao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hicho kibarua cha kuangalia juu angani kila dakikaAu wewe unawaza tahadhari ipi mkuu😂
kwanini sio pale mtaa ufipaIngekuwa ni kipindi cha Mkulu, watu wangesema "ikaangukie magogoni".
Ndo kibarua kifuatacho... Hakuna namnaHicho kibarua cha kuangalia juu angani kila dakika
[emoji1][emoji3] nikama nimesikia ni hapo hapo tu embu tizama juu!Hala hala isije ikaangukia kariakoo jamani maana ndio nipo hapa sahizi
We naangalia anga naona tulivu tu nikiskia vishindo nakimbia fasta[emoji1][emoji3] nikama nimesikia ni hapo hapo tu embu tizama juu!
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa utakimbilia wapi hapo haa haa haaWe naangalia anga naona tulivu tu nikiskia vishindo nakimbia fasta
Bastard[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hala hala isije ikaangukia kariakoo jamani maana ndio nipo hapa sahizi
Hala hala isije ikaangukia kariakoo jamani maana ndio nipo hapa sahizi
subiri ripoti itakapotangazwaBinafsi Sina uhakika sana kama Kuna failure zozote zimetokea Kwenye kifaa chao, May be they have done it on purpose.
Mpaka sasa Safari za anga zimefanyika nyingi sana. Dunia iko nje ya Learning curve on space travelling. How comes ?
[emoji1787][emoji1787]si tutakwaana Mzee..na Sisi wa darisalama na bodaboda hizi tukitembea tunaangalia juu itakuwajeKwa hiyo tuwe tunatembea huku tunaangalia juu
Kimepeleka section ya space station yao kimeifikisha na kilibidi kiwe controlled kidondoke baharini hivyo mission accomplished.Ndio kile chombo Cha anga walichokua wanasema China wamepiga hatua Sana!
Sasa huko failure kumetoka wapi? Au Ni hujuma za kimagharibi?
Na uzito wa elementi ukitoka hapo unaenda kupigwa X rays[emoji1787][emoji1787]si tutakwaana Mzee..na Sisi wa darisalama na bodaboda hizi tukitembea tunaangalia juu itakuwaje
kama ni tar 8 au 10..ni vema ikaanguka taifa pale kabla ya mechi ya simba na yanga kuanzaItaishia Pacific inategemewa kuingia tarehe 8-10. Ilishatokea mwaka 2018 nayo ikaishia pacific.
😅😅Hutaki yanga apigwekama ni tar 8 au 10..ni vema ikaanguka taifa pale kabla ya mechi ya simba na yanga kuanza