Abuu Dharr
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 2,911
- 3,016
HhhhhhhHala hala isije ikaangukia Kariakoo jamani maana ndio nipo hapa sahizi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HhhhhhhHala hala isije ikaangukia Kariakoo jamani maana ndio nipo hapa sahizi.
We Jamaa ni muoga sanaHala hala isije ikaangukia Kariakoo jamani maana ndio nipo hapa sahizi.
Kwan bukayanandi ana maon gani kuhusu tukio ili?Ndio kile chombo Cha anga walichokua wanasema China wamepiga hatua Sana!
Sasa huko failure kumetoka wapi? Au Ni hujuma za kimagharibi?
Tarehe 8 isijedumbukia taifa watu tunamkamua utopolo.. OhooooItaishia Pacific inategemewa kuingia tarehe 8-10. Ilishatokea mwaka 2018 nayo ikaishia pacific.
Tahadhari labda watu wapige calculations kinaweza kuangukia wapi..tuchukue tahadhari gani?
Tuvae elementtuchukue tahadhari gani?
Chinese wako reckless hii ni mara ya pili hata mwaka 2018 ilitokea hv hv na ilikuwa same mission kama hii.Binafsi Sina uhakika sana kama Kuna failure zozote zimetokea Kwenye kifaa chao, May be they have done it on purpose.
Mpaka sasa Safari za anga zimefanyika nyingi sana. Dunia iko nje ya Learning curve on space travelling. How comes?
Pentagon (US Space Force) wanaifuatilia.NASA hawajaiona kwenye RADA zao?
We huogopi kufa chiefWe Jamaa ni muoga sana
Mwenyezi Mungu atuhifadhi na shari ya waja wake.
Pata picha umati wote tunatembea rukiangalia juuKwa hiyo tuwe tunatembea huku tunaangalia juu