Chukua tahadhari: Roketi ya Kichina yapoteza muelekeo na mawasiliano angani. Muda wowote kuanguka Duniani

Chukua tahadhari: Roketi ya Kichina yapoteza muelekeo na mawasiliano angani. Muda wowote kuanguka Duniani

Siku ya Alhamisi iliyopita China imetuma rocket kubwa kuliko zote angani lakini pasina kujulikana sababu imetoka katika control yao na mpaka sasa haijulikani iko wapi?

Ina uzito wa tani 21 na urefu wa futi 100 na upana wa futi 16.

Ripoti za wataalamu wa anga zinasema roket hiyo itafika kwenye ardhi ya Dunia muda wowote katika wiki hii au siku chache zijazo.

Mpaka hivi sasa haijulikani itaangukia wapi kwakuwa haionekani na hamna mawasiliano ya kuiongoza iangukie baharini.

Inakimbia kwa kasi ya kilometer 28000 kwa lisaa na ina uwezo wa kuzunguka dunia yote kila baada ya dakika 90 na kwa mujibu wa ripoti ya Dk Mohammad Said mtaalamu wa maswala ya anga ni:

Kuwa rocket hiyo imefanikiwa kuivuka Misr kwa salama masaa mawili yaliyopita ndani ya dakika 8 na sekunde 40 ikiwa katika urefu wa kilometer 269.

Mwenyezi Mungu atuhifadhi na shari ya waja wake.

Picha hazihusiani na tukio

View attachment 1773999View attachment 1774000
Wachina hamna akili mam.ae zenu mtatuuuua.

Corona mliyoleta haijaisha, mnaleta janga jingine tena🙆🙆🙆
 
Siku ya Alhamisi iliyopita China imetuma rocket kubwa kuliko zote angani lakini pasina kujulikana sababu imetoka katika control yao na mpaka sasa haijulikani iko wapi?

Ina uzito wa tani 21 na urefu wa futi 100 na upana wa futi 16.

Ripoti za wataalamu wa anga zinasema roket hiyo itafika kwenye ardhi ya Dunia muda wowote katika wiki hii au siku chache zijazo.

Mpaka hivi sasa haijulikani itaangukia wapi kwakuwa haionekani na hamna mawasiliano ya kuiongoza iangukie baharini.

Inakimbia kwa kasi ya kilometer 28000 kwa lisaa na ina uwezo wa kuzunguka dunia yote kila baada ya dakika 90 na kwa mujibu wa ripoti ya Dk Mohammad Said mtaalamu wa maswala ya anga ni:

Kuwa rocket hiyo imefanikiwa kuivuka Misr kwa salama masaa mawili yaliyopita ndani ya dakika 8 na sekunde 40 ikiwa katika urefu wa kilometer 269.

Mwenyezi Mungu atuhifadhi na shari ya waja wake.

Picha hazihusiani na tukio

View attachment 1773999View attachment 1774000
Mkuu, wewe umechukua tahadhari gani?
 
eeeh kuna uzi humu uli letwa baada ya chombo kurushwa hewani vijamaa vikapondaaa kuonesha kua wachina ndio wenye best technology ilihali hayo mambo watu wame anza kitambo kupeleka vyombo uko leo kweny huu uzi siwaoni na zile comment zao

 
Mpaka hivi sasa haijulikani itaangukia wapi kwakuwa haionekani na hamna mawasiliano ya kuiongoza iangukie baharini.
Wachina waliporusha roketi kuelekea anga za mbali mwaka jana mwezi Mei mabaki yaliripotiwa kuokotwa Ivory Coast kwenye makazi ya watu vijijini. Hii ni mara nyingine.

Teknolojia ya kisasa kabisa ya uundaji wa roketi inahusisha mifumo (control systems) kwa ajili ya udhibiti wa kasi na utuaji (landing). Mifumo hii huwekwa wakati roketi zinapokuwa viwandani katika mchakato wa uundwaji wake.

Ni jambo la kushangaza kwa nchi kama China kuonesha negligence kubwa kiasi hiki maana nchi karibu zote ambazo ni vinara katika teknolojia ya roketi zinafahamu mbinu hizi za utengenezwaji wa roketi.
 
Siku ya Alhamisi iliyopita China imetuma rocket kubwa kuliko zote angani lakini pasina kujulikana sababu imetoka katika control yao na mpaka sasa haijulikani iko wapi?

Ina uzito wa tani 21 na urefu wa futi 100 na upana wa futi 16.

Ripoti za wataalamu wa anga zinasema roket hiyo itafika kwenye ardhi ya Dunia muda wowote katika wiki hii au siku chache zijazo.

Mpaka hivi sasa haijulikani itaangukia wapi kwakuwa haionekani na hamna mawasiliano ya kuiongoza iangukie baharini.

Inakimbia kwa kasi ya kilometer 28000 kwa lisaa na ina uwezo wa kuzunguka dunia yote kila baada ya dakika 90 na kwa mujibu wa ripoti ya Dk Mohammad Said mtaalamu wa maswala ya anga ni:

Kuwa rocket hiyo imefanikiwa kuivuka Misr kwa salama masaa mawili yaliyopita ndani ya dakika 8 na sekunde 40 ikiwa katika urefu wa kilometer 269.

Mwenyezi Mungu atuhifadhi na shari ya waja wake.

Picha hazihusiani na tukio

View attachment 1773999View attachment 1774000
Juzi tu kuna mtu alileta uzi wake kwa mbwe kubwa kwamba marekani anaona gere china kwenda anga za juu sasa gere yenyewe ndio mambo kama haya
 
Siku ya Alhamisi iliyopita China imetuma rocket kubwa kuliko zote angani lakini pasina kujulikana sababu imetoka katika control yao na mpaka sasa haijulikani iko wapi?

Ina uzito wa tani 21 na urefu wa futi 100 na upana wa futi 16.

Ripoti za wataalamu wa anga zinasema roket hiyo itafika kwenye ardhi ya Dunia muda wowote katika wiki hii au siku chache zijazo.

Mpaka hivi sasa haijulikani itaangukia wapi kwakuwa haionekani na hamna mawasiliano ya kuiongoza iangukie baharini.

Inakimbia kwa kasi ya kilometer 28000 kwa lisaa na ina uwezo wa kuzunguka dunia yote kila baada ya dakika 90 na kwa mujibu wa ripoti ya Dk Mohammad Said mtaalamu wa maswala ya anga ni:

Kuwa rocket hiyo imefanikiwa kuivuka Misr kwa salama masaa mawili yaliyopita ndani ya dakika 8 na sekunde 40 ikiwa katika urefu wa kilometer 269.

Mwenyezi Mungu atuhifadhi na shari ya waja wake.

Picha hazihusiani na tukio

View attachment 1773999View attachment 1774000
Dunia inazidi kuwa mahali pa hatari sasa,huku Corona,huku Rocket haijulikani itaangukia wapi,maana kwa uzito wake huo wa Tani 21 hata ukijificha ndani lazima utadhurika tu...
 
Yaani haionekani hamna control nayo ila mnajua inateremka kwa kasi ngapi??[emoji15][emoji15]
Haya hio tahadhari unaichukuaje[emoji851][emoji851][emoji851]
 
Back
Top Bottom