Chukueni hii moto moto: Pacome alikuwa haumwi bali alichukia kuona Kocha anamuanzisha Benchi wakati Yeye si Mtu wa Benchi

Chukueni hii moto moto: Pacome alikuwa haumwi bali alichukia kuona Kocha anamuanzisha Benchi wakati Yeye si Mtu wa Benchi

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Na za ndani zaidi zimeendelea kusema kuwa Maelewano ya Kocha Mkuu wa Yanga SC ambaye wan Simba SC wamembatiza Jina la Uswazinyo / Uswahili Saidi Ramadhani na Pacome sasa si mazuri. Pacome alichukia sana hadi akawaambia Viongozi kuwa kama vipi atahamia Mtaa wa Pili kwenye Raha sasa.
 
Huyu kocha amepoteza sifa ya kufundisha timu ambayo hushiriki kombe la wanaume.Anatakiwa afukuzwe ili akafundishe timu ambayo inashiriki kombe la wanawake(looser cup)
 
Huyu kocha amepoteza sifa ya kufundisha timu ambayo hushiriki kombe la wanaume.Anatakiwa afukuzwe ili akafundishe timu ambayo inashiriki kombe la wanawake(looser cup)
Unajiskia raha sana kudhalilisha wanawake inavyoonekana, hata mama yako namin unamdharau sana
 
Huyu kocha amepoteza sifa ya kufundisha timu ambayo hushiriki kombe la wanaume.Anatakiwa afukuzwe ili akafundishe timu ambayo inashiriki kombe la wanawake(looser cup)
Kombe hili ambao hamkuingia makundi kwa miaka 25! 😂
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Na za ndani zaidi zimeendelea kusema kuwa Maelewano ya Kocha Mkuu wa Yanga SC ambaye wan Simba SC wamembatiza Jina la Uswazinyo / Uswahili Saidi Ramadhani na Pacome sasa si mazuri. Pacome alichukia sana hadi akawaambia Viongozi kuwa kama vipi atahamia Mtaa wa Pili kwenye Raha sasa.
Mmmmm sio kweliii..
 
Back
Top Bottom