Chukueni maneno yangu, Bollen Ngetti atakiangamiza CCM na Taifa!

Taarifa njema kama.hii imatia faraja sana kwa Taifa letu.

Nani asiyetaka CCM isife?
 
Huyu atakuwa ni mkombozi wa taifa letu. Adui namba moja wa Taifa 🇹🇿 ni CCM
 
Acha tu CCM Ife
 
Policcm wakisikia Mwabukusi anaanda maandamano wanaizingira nyumba yake hata kabla hajatoks wanasema wana taarifa za kiintelijensia maandamano yatakuwa na uvunjifu wa amani.

Ila huyu wameshindwa kumjua licha ya wewe kusema ameonekana kwenye coup kadhaa.

Kuhusu Magufuli huyo alifariki kwa maradhi aliyokuwa nayo na bado akawa anajiweka kwenye risk wakati kuna janga linaloathiri watu wenye matatizo kama yake.
 

Na wewe huwa unaenda ubalozi wa Marekani kufanya nini kila siku hadi mnakutana benchi ameketi kila siku? Ama kweli mwizi hushikwa na mwizi mwenzie!
 
Gaza umekusudia kuwachunguza Hamas? Dah yote afanye lkn asiwacheze Hamas jamaa noma
 
Huu kuandika Baada ya kulewa
 
Huyu atakuwa na nia nzuri ya kuikomboa nchi yetu kutoka ktk makucha ya mafisadi, wezi wa kura na mali za umma.
 
hiyo mission inaweza kukamilika Yes. hiyo siwezi bisha hata kidogo. Nakubali kabisaa.

Lakini inaweza kuchukua zaidi ya miaka kati ya 70 au 120 ijayo mission kutimia kwa namna hali ilivyo....

Mark my words...
Weka akiba ya maneno ili siku moja husije kukosa cha kuongea. Wakati unakuja, hao mnaowategemea ktk wizi wa kura na kupoka madaraka kwa nguvu wataichoka CCM kama ilivyochokwa na wananchi.
 
Waarabu wa Pemba wanajuwana kwa vilemba.
 
Bollen, kwanini usingizie mtu yupo na Uraia wa USA na unawaacha akina Sabaya na Mtoto pendwa-last born makonda aliyeevuruga uongozi wa CCM na sasa focus ni kumuangusha kigogo mwengine mpaka /sukuma Gang yote irudi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…