Yuko wapi nimchangie hata buku ya bodaboda? Mtu akitaka kuiua CCM Huyo ni mzalendo halisi.Wanabodi,
Usipuuze maneno ya mlevi apitaye njia. Msikilize na kufuatilia ayasemayo baadaye. Kuna mtu nchi hii anatumia mwamvuli ya uanahabari (cover paper) akiitwa Bollen Ngetti.
Nimemfuatilia jamaa huyu kwa muda mrefu. Si Mwema kwa nchi yetu. Kama kuna wanaoamini Bernard Membe amefariki basi wajue Membe ni hai, na ni Bollen. Jamaa ni agent wa CIA Ukanda wa Afrika Mashariki akiangalia miradi ya USA katika masuala ya usalama. Ukifika USA embassy utamkuta pembeni benchi kama mwenzio kila siku. Huyu ndiye anajua "aliko" Magufuli.
Wanabodi, nimeamua kufunguka baada ya kujua mengi ya huyu mgeni akijiita kada wa CCM. Huyu jamaa ni maalumu kuvuruga siasa za nchi hii. CCM yumo na upinzani ni damu damu. Ameshiriki sana kumuondoa Chongolo kitini. Naomba msipuuzie maneno haya hususan vyombo vya usalama. Bollen ameonekana kwenye Mapinduzi ya Niger, Mali na Burkinafaso. Juzi mmemuona Gaza. Lakini akiwa Tanzania ni kada wa CCM. Special Mission kukiua CCM. Niishie hapo kwa Leo.
Wagner wakipewa nguvu Bongo wapuuzi kama nyie tunawazika ( Hamas-Chadema)
Usichojua Wagner ipo ila wamevaa nguo za kijani ( Uvccm)
Kumbuka CCM ni chama Cha kijamaa
Uvccm ni hawa panyaroadEti wagner ni uvccm? Man stop the hype, uvccm aint shit but kusanyika la chawa.
Kwa mawazo hayaWeka akiba ya maneno ili siku moja husije kukosa cha kuongea. Wakati unakuja, hao mnaowategemea ktk wizi wa kura na kupoka madaraka kwa nguvu wataichoka CCM kama ilivyochokwa na wananchi.
RALete picha
Muulize bwanakoo Mbowe Sajenti Sabaya alivyomtoa kamasiEti wagner ni uvccm? Man stop the hype, uvccm aint shit but kusanyika la chawa.
Muulize bwanakoo Mbowe Sajenti Sabaya alivyomtoa kamasi
Wewe ni mpumbavuKwanza eshimu majeshi ya tz, unampa mwanasiasa cheo cha kijesh wkt ni raia. Huna adabu.
Na kama hiyo ndio reference ,then you aint shit
Hii coment inanifanya nianze kuunganisha dots!!Ahsante sana ndugu yangu. Ndiye huyo. Soon nitawaletea picha zake akiwa Kagame, Rostam Aziz, Membe na Barack Obama. Huyu jamaa ni mzimu anayekiangamiza CCM. Mnakumbuka battle yake na Cyprian Musiba DW? Amekuwa rafiki mkubwa kwa nje kwa Chongolo mwisho SG out. Mkimtafuta Kigogo 2014 msakeni huyu. CCM tusilale.
Lazaro Nyerandu na Rostam Ezize CIA anget nao.Naona Boleni anajipigia sifa
Eti jasusi wa CIAππππ
Which chadema. You mean the same Chadema that I know? Who has ever have knowledge within chadema to handle over sovereignty over him?Acha kumsingizia Bollen. CCM itakatwa vipande vipande na Bashite.
Unadhani wale wote aliowapa maagizo Wana hamu nae ukianza na kijumbe?
Exit CCM enter CHADEMA.