Chuma Magufuli akitafuna muhindi wa kuchoma

Chuma Magufuli akitafuna muhindi wa kuchoma

mwanamwana

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
1,309
Reaction score
4,798
Magufuli2.jpg


Magufuli.jpg
 
Showoff mnatuonyesha kwenye camera wanakula mahindi ya kuchoma. Offcamera wanakula pizza,kuku,biliani, na mazagazaga kibao bila kusahau kila mlo haukosi juice fresh na mboga za majani.
 
Na wewe kula mbn mitanzania mnawivu ya ajabu..

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Hujaelewa point yangu. Nje wanajifanya wapo na wananchi. Wakati maisha yao private ni ya juu huku wapiga kura wao hata kula mlo mmoja ni taabu. Waalimu miaka 5 hata kuongenzwa mia ya mshahara hakuna.
Mimi maisha yangu binafsi ni mazuri mno.
Hapa nawaongelea million 50 wanaoishi chini ya dola moja kwa siku.
 
Daah mimi najua chuma hua kinatafuna Chuma kumbe huku Bongo Chuma kinakula mahindi?hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
[emoji1544][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2958][emoji2958]
 
Back
Top Bottom