Chuma Magufuli akitafuna muhindi wa kuchoma

Chuma Magufuli akitafuna muhindi wa kuchoma

Hii aliyotoa TL sijui Ni spana namba ngapi.?

Maana Kama toolbox bado haijawekwa mezani mambo yako hivi sijui zikitolewa hizo nyingine nadhani Kuna mtu atawehuka!
 
Hii siyo kawaida kwa mheshimiwa Rais kufakamia vyakula barabarani. Dumila hupita mara nyingi, lakini hatujawahi kumuona akila mahindi ya kuchoma hadharani!View attachment 1528229
Kuna uwezekano mkubwa sana, makombora yaliyoanza kurushwa kati jana na leo na mpinzani wake mkuu ndugu Tundu Lissu yameanza kuleta madhara!

CCM msaidieni mpeperushaji wa bendera yenu kwani kimbunga bado lakini kashaanza kupepesuka!
Atabeba zege safari hii. Anafakamia mahindi hivi alisanitize hata mikono kweli ?
 
Hii siyo kawaida kwa mheshimiwa Rais kufakamia vyakula barabarani. Dumila hupita mara nyingi, lakini hatujawahi kumuona akila mahindi ya kuchoma hadharani!View attachment 1528229
Kuna uwezekano mkubwa sana, makombora yaliyoanza kurushwa kati jana na leo na mpinzani wake mkuu ndugu Tundu Lissu yameanza kuleta madhara!

CCM msaidieni mpeperushaji wa bendera yenu kwani kimbunga bado lakini kashaanza kupepesuka!
Walinzi ........ sana mahindi ya kuchoma jau
 
Hii aliyotoa TL sijui Ni spana namba ngapi.?

Maana Kama toolbox bado haijawekwa mezani mambo yako hivi sijui zikitolewa hizo nyingine nadhani Kuna mtu atawehuka!
2015 kuna watu walipiga pushup I guess this time watu watapiga nyeto live
 
Hii siyo kawaida kwa mheshimiwa Rais kufakamia vyakula barabarani. Dumila hupita mara nyingi, lakini hatujawahi kumuona akila mahindi ya kuchoma hadharani!View attachment 1528229
Kuna uwezekano mkubwa sana, makombora yaliyoanza kurushwa kati jana na leo na mpinzani wake mkuu ndugu Tundu Lissu yameanza kuleta madhara!

CCM msaidieni mpeperushaji wa bendera yenu kwani kimbunga bado lakini kashaanza kupepesuka!
Ngoja asahau ang'ate hiyo mike
 
Back
Top Bottom