wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Yule mama nae kadakia "hukoo hukoo shambani kuleeMnataka Niwapanulie Wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule mama nae kadakia "hukoo hukoo shambani kuleeMnataka Niwapanulie Wapi
Na kweli na hofu piaNi stress
Yaani Nilishangaa Hasa Hasa Hilo Neno Full UkakasiYule mama nae kadakia "hukoo hukoo shambani kulee
Kama hutaki lia!! sie tunakula mahindi nyie mnasubiri maelekezo ya kichaa wenu mwende mabarabarani baada ya kushindwa vibaya uchaguzi, badala mchape kazi
Matatizo ni kuwa alishazoea kila analofanya barabara I lirushwe live. Ile video haikustahili kuwa mitandaoni au hewani.Na kweli na hofu pia
Zimeanza Kabla Ya Muda WakeKampeni zimeshaanza, HAPO NDUMILA.
Hindi limetoka Dar hilo wamekuja naloShowoff mnatuonyesha kwenye camera wanakula mahindi ya kuchoma. Offcamera wanakula pizza,kuku,biliani, na mazagazaga kibao bila kusahau kila mlo haukosi juice fresh na mboga za majani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Daah mimi najua chuma hua kinatafuna Chuma kumbe huku Bongo Chuma kinakula mahindi?hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Yaa ni kweli kabisaMatatizo ni kuwa alishazoea kila analofanya barabara I lirushwe live. Ile video haikustahili kuwa mitandaoni au hewani.
Wewe unataka tukunaliiu wapi?Kiswahili alichoongea Rais leo kinahitaji kamusi.
😂😂😂😂Wewe unataka tukunaliiu wapi?
Ungepita kimya ningekuona mjanjaChuma cha pua icho bwana.
Magufuli anawapa presha sana hawa wanyanyembe vibaraka wa mabeberu.
Muda wa kampeni honey. Chezea politicians utalala njaaShowoff mnatuonyesha kwenye camera wanakula mahindi ya kuchoma. Offcamera wanakula pizza,kuku,biliani, na mazagazaga kibao bila kusahau kila mlo haukosi juice fresh na mboga za majani.
hapa sio fasebook unatuma picha tu bila kutia neno.Ungepita kimya ningekuona mjanja
🤣 🤣Showoff mnatuonyesha kwenye camera wanakula mahindi ya kuchoma. Offcamera wanakula pizza,kuku,biliani, na mazagazaga kibao bila kusahau kila mlo haukosi juice fresh na mboga za majani.
Mara anunue johgo kwa jiwe moja, Leo anatafuna mwarabu, mbona mkwere halikua hana hz showoff. ?? Fid q ngosha unakwama wap?Showoff mnatuonyesha kwenye camera wanakula mahindi ya kuchoma. Offcamera wanakula pizza,kuku,biliani, na mazagazaga kibao bila kusahau kila mlo haukosi juice fresh na mboga za majani.
Jogoo hoyeeMara anunue johgo kwa jiwe moja, Leo anatafuna mwarabu, mbona mkwere halikua hana hz showoff. ?? Fid q ngosha unakwama wap?
Magu ale pizza na biriani?Showoff mnatuonyesha kwenye camera wanakula mahindi ya kuchoma. Offcamera wanakula pizza,kuku,biliani, na mazagazaga kibao bila kusahau kila mlo haukosi juice fresh na mboga za majani.
[emoji16][emoji16][emoji16]Chadema wataibeba hii kama sera yao ya uchaguzi ukiachana na ile ya jogoo ambayo tayari mgombea wao kaahidi kumshughulikia yule Jogoo ambaye Magu alipewa kama zawadi.