Chuma Magufuli akitafuna muhindi wa kuchoma

Chuma Magufuli akitafuna muhindi wa kuchoma

Chadema wataibeba hii kama sera yao ya uchaguzi ukiachana na ile ya jogoo ambayo tayari mgombea wao kaahidi kumshughulikia yule Jogoo ambaye Magu alipewa kama zawadi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hujaelewa point yangu. Nje wanajifanya wapo na wananchi. Wakati maisha yao private ni ya juu huku wapiga kura wao hata kula mlo mmoja ni taabu. Waalimu miaka 5 hata kuongenzwa mia ya mshahara hakuna.
Mimi maisha yangu binafsi ni mazuri mno.
Hapa nawaongelea million 50 wanaoishi chini ya dola moja kwa siku.
Kama maisha yako ni mazuri Basi fanya uwasaidie wale wanaoshi chini ya dola. Sio kulaumu viongozi.

Be the part of the solution.
 
Chadema wataibeba hii kama sera yao ya uchaguzi ukiachana na ile ya jogoo ambayo tayari mgombea wao kaahidi kumshughulikia yule Jogoo ambaye Magu alipewa kama zawadi.
😃😃, Kazi kweli.
 
Chadema wataibeba hii kama sera yao ya uchaguzi ukiachana na ile ya jogoo ambayo tayari mgombea wao kaahidi kumshughulikia yule Jogoo ambaye Magu alipewa kama zawadi.
Wanasaccos ya mtaa wa ufipa wanavituko watasema kwanini MH raisi magufuli kala mahindi [emoji23][emoji1787][emoji2960]
 
Hii siyo kawaida kwa mheshimiwa Rais kufakamia vyakula barabarani. Dumila hupita mara nyingi, lakini hatujawahi kumuona akila mahindi ya kuchoma hadharani!
Screenshot_2020-08-05-21-24-40.png

Kuna uwezekano mkubwa sana, makombora yaliyoanza kurushwa kati jana na leo na mpinzani wake mkuu ndugu Tundu Lissu yameanza kuleta madhara!

CCM msaidieni mpeperushaji wa bendera yenu kwani kimbunga bado lakini kashaanza kupepesuka!
 
Hii siyo kawaida kwa mheshimiwa Rais kufakamia vyakula barabarani. Dumila hupita mara nyingi, lakini hatujawahi kumuona akila mahindi ya kuchoma hadharani!View attachment 1528229
Kuna uwezekano mkubwa sana, makombora yaliyoanza kurushwa kati jana na leo na mpinzani wake mkuu ndugu Tundu Lissu yameanza kuleta madhara!

CCM msaidieni mpeperushaji wa bendera yenu kwani kimbunga bado lakini kashaanza kupepesuka!
Kwani ukila mahindi unavunja sheria yoyote?!
 
Hii siyo kawaida kwa mheshimiwa Rais kufakamia vyakula barabarani. Dumila hupita mara nyingi, lakini hatujawahi kumuona akila mahindi ya kuchoma hadharani!View attachment 1528229
Kuna uwezekano mkubwa sana, makombora yaliyoanza kurushwa kati jana na leo na mpinzani wake mkuu ndugu Tundu Lissu yameanza kuleta madhara!

CCM msaidieni mpeperushaji wa bendera yenu kwani kimbunga bado lakini kashaanza kupepesuka!
Na bado, hizi ni rasha rasha tu, mvua za vuli bado. Hapa nakumbuka zile push-up jukwaani. Ukweli ni kwamba uchaguzi ukiwa huru na wa haki bila kutumia nguvu za dola, dhulma na rushwa, CCM lazima ipigwe chali.
 
Back
Top Bottom