Vi rendra
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 3,271
- 5,617
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chadema wataibeba hii kama sera yao ya uchaguzi ukiachana na ile ya jogoo ambayo tayari mgombea wao kaahidi kumshughulikia yule Jogoo ambaye Magu alipewa kama zawadi.