Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,166
- 13,514
Louis unataka kupanuliwa wapiSorry! Naomba nukuu yake japo kwa ufupi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Louis unataka kupanuliwa wapiSorry! Naomba nukuu yake japo kwa ufupi.
Mtasifia sana ila kipigo kiko palepale
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119]Tulizoea kugawa mapesa barabara, tangu tusikie habari ya pingamizi tunakula mahindi tukiwa barabara ni.
[emoji23][emoji1787]Tulizoea kugawa mapesa barabara, tangu tusikie habari ya pingamizi tunakula mahindi tukiwa barabara ni.
Tulizoea kugawa mapesa barabara, tangu tusikie habari ya pingamizi tunakula mahindi tukiwa barabara ni.
😛😛😛Kinacchouma ni kwamba ana ubaguzi kwanini hajala samaki nchanga hata siku moja kuonyesha mshikamano?
Unapigana na mtu ambaye amefungwa mikono na miguu then unjisifu.Mtasifia sana ila kipigo kiko palepale
Huyu ni ngosha bwana, hali pizza, hayo mapizza tuwaachie wanaopenda junk foods.[emoji39]Showoff mnatuonyesha kwenye camera wanakula mahindi ya kuchoma. Offcamera wanakula pizza,kuku,biliani, na mazagazaga kibao bila kusahau kila mlo haukosi juice fresh na mboga za majani.
kwanini utukane usipite tuu.Hii nayo thread?? mnatafuta watu waongee mseme wanatukana 😡 😡 😡 😡
Hatuna 5M, Msitutafutie sababu, na mahakimu siku hizi wanasifa kama nini 😡