Chuma Ulete: Ni kweli ipo? Ipi dawa ya kuidhibiti?

Chuma Ulete: Ni kweli ipo? Ipi dawa ya kuidhibiti?

umekosea heading y uzi! nazan ulikua una haraka ya kujua... umeliwa nn?
 
Kina wazee kibao wanashinda kutwa nzima wakicheza bao na kunywa gahawa mpaka jua linazama lakini nyumbani kwake mambo yanamuendea kama kawaida....wewe unadhani hizo hela wanazitoa wapi...???
AKILI KUMKICHWA...
 
Wana jamii ningepanda kujua maana halisi ya chuma ulete kwani zaidi najua mtu anaye weza kuchukua hasa pesa kwa ki mazingira ndio huita chuma ulete. kuna siku jamaa mmoja alinikuta nanunua bidhaa duka ni a kaja kwangu na kuniomba shilingi Mia moja . nilikuwa na kiasi cha shilingi kadhaa mkononi nikampa mia akaenda pembeni yangu kulikuwa na mama mmoja alikuwa akinitazama kwa jicho la ishara alipoondoka yule jamaa yule mama akasema usinge mpa kwani km angekuwa na shida basi angeomba buku au Mia 5. Hawa watu wa aina hii ni washilikina wanafanya CHUMA ULETE.
sijapata madhara yeyote sasa yapata wiki . Je hili tukio laweza kuwa ni la kishirikina? na lina kaa active kwa muda gani? ...
Kuna wakati ni kweli mtu anataka kiasi hicho cha hela kwakuwa ni rahisi kutoa. Lakini kuna wakati anataka kufanya yake na hapo kuna mawili afanikishe nia yake au ashindwe
 
Back
Top Bottom