Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wakati ni kweli mtu anataka kiasi hicho cha hela kwakuwa ni rahisi kutoa. Lakini kuna wakati anataka kufanya yake na hapo kuna mawili afanikishe nia yake au ashindweWana jamii ningepanda kujua maana halisi ya chuma ulete kwani zaidi najua mtu anaye weza kuchukua hasa pesa kwa ki mazingira ndio huita chuma ulete. kuna siku jamaa mmoja alinikuta nanunua bidhaa duka ni a kaja kwangu na kuniomba shilingi Mia moja . nilikuwa na kiasi cha shilingi kadhaa mkononi nikampa mia akaenda pembeni yangu kulikuwa na mama mmoja alikuwa akinitazama kwa jicho la ishara alipoondoka yule jamaa yule mama akasema usinge mpa kwani km angekuwa na shida basi angeomba buku au Mia 5. Hawa watu wa aina hii ni washilikina wanafanya CHUMA ULETE.
sijapata madhara yeyote sasa yapata wiki . Je hili tukio laweza kuwa ni la kishirikina? na lina kaa active kwa muda gani? ...
Kuna wakati ni kweli mtu anataka kiasi hicho cha hela kwakuwa ni rahisi kutoa. Lakini kuna wakati anataka kufanya yake na hapo kuna mawili afanikishe nia yake au ashindwe
Kama nilivyosema ni roho ya kimaskini kwakuwa kama ulikuwa na elfu kumi hawezi chukua yote sana sana atakuibia zile ndogo ndogohapo ndipo kuliwa kunapokuja...anaweza kufanyia nn ?
Basi anapoteza muda hana maana kabisa mm nilidhani anaweza kupiga mzigo wote ...Asante kakaKama nilivyosema ni roho ya kimaskini kwakuwa kama ulikuwa na elfu kumi hawezi chukua yote sana sana atakuibia zile ndogo ndogo
kwani ina tatizo gani ?JamiiForums na nyie mna mambo kwa hiyo na hii nayo mmeistick....
Nimeshangaa sana,nilitaka kuhoji hili pia.JamiiForums na nyie mna mambo kwa hiyo na hii nayo mmeistick....
Wewe jamaa unapenda uchawi na ni mchawi haswa.kwani ina tatizo gani ?
nenda baharini usiku wa manane ukae utaonana nao paleMleta mada,
Hivi hii dunia ina viumbe wanaoitwa majini?
Kama wapo,wanapatikana wapi?
Nina shida nao sana!