Chuma Ulete: Ni kweli ipo? Ipi dawa ya kuidhibiti?

Chuma Ulete: Ni kweli ipo? Ipi dawa ya kuidhibiti?

Hii kitu inatia karaha na umasikini. Naomba ushauri kwa mwenye kujua jinsi ya kukabiliana na hawa pepo wa chuma ulete. Seriously!
 
Eng issue sio rahisi hivyo tumefanya utafiti wa kutosha na kuzibiti cash mane tukagundua noti zinavhomolewa kimiracles

Zinachomolewa ki-miracles?? kwa namna ipi?

Jaribu kufata utaratibu wa kimapato na matumizi kwa kuandika na kuhifadhi kumbukumbu usidharau hata senti moja kuacha ipotee bila kujua imekwenda wapi.

Halafu acha kuwa na mawazo ya kishirki.
 
Zinachomolewa ki-miracles?? kwa namna ipi?

Jaribu kufata utaratibu wa kimapato na matumizi kwa kuandika na kuhifadhi kumbukumbu usidharau hata senti moja kuacha ipotee bila kujua imekwenda wapi.

Halafu acha kuwa na mawazo ya kishirki.

Elimu ina uzuri wake na ubaya wake.
 
Hii kitu inatia karaha na umasikini. Naomba ushauri kwa mwenye kujua jinsi ya kukabiliana na hawa pepo wa chuma ulete. Seriously!

elezea hiyo kitu ndio nini??/inakuaje/ipoje!?
then jinsi gani inakupa karaha... na huo umaskini!!!?
then tukupe/tafutie ushauri..!!??
 
Hii kitu inatia karaha na umasikini. Naomba ushauri kwa mwenye kujua jinsi ya kukabiliana na hawa pepo wa chuma ulete. Seriously!

dawa ni hii,njoo kanisa la eagt kwa katunzi mtoni mtongani njia ya mbagala shuka mtongani mbelekidogo kuna reli inavuka juu ukivukahapo utaona kanisa kubwa mkono wa kushoto hata ukiuliza utafika nakwambia majini,chuma ulete,uchawi kwa mchungaji katunzi Mungu atajibu na ni buree hakuna mafuta wala nini hapo ibada ni kila jtano has ijumaa saa kumi jmos saa 9 jpili saa 3asbh,karibaana mimi nimeona kwa macho yangu seriously karibu ujione kuanzia jtano ni ibada mpaka jpili.
 
dawa ni hii,njoo kanisa la eagt kwa katunzi mtoni mtongani njia ya mbagala shuka mtongani mbelekidogo kuna reli inavuka juu ukivukahapo utaona kanisa kubwa mkono wa kushoto hata ukiuliza utafika nakwambia majini,chuma ulete,uchawi kwa mchungaji katunzi Mungu atajibu na ni buree hakuna mafuta wala nini hapo ibada ni kila jtano has ijumaa saa kumi jmos saa 9 jpili saa 3asbh,karibaana mimi nimeona kwa macho yangu seriously karibu ujione kuanzia jtano ni ibada mpaka jpili.

Fursaaaaaaaaaaa
 
Unaweza kudhani ni habari za kufikirika au za redio mbao lakini hili pepo la chuma ulete lipo na linafanya mambo yake ila ni pepo Fukara na la kipuuzi kabisa

Chuma ulete halikupi utajiri wala mali za maana chuma ulete halitaki vitu vizuri chuma ulete halitaki elimu wala maarifa chuma ulete ni pepo chafu lenye mzio na usafi

Ukitembelea maduka ya wahindi kariakoo na posta na miji mingine yenye hii kabisa hutakosa kuona wamefunga kamba yenye majani ya mwembe na wengine kufuga kasuku(msema kweli na msema chochote) hawa wanaamini kuwa hiyo ni dawa ya chuma ulete

Kwa wale wasiojua chuma ulete ninini iko hivi unafanya biashara tangu asubuhi mpaka jioni unauza kama kawaida lakini inapofika wakati wa kufunga mahesabu pesa iliyopo na tofauti na vitu ulivyouza au ulikuwa na laki moja mfukoni anatokea mtu na kukuomba chenchi unampa lakini baadae kila ukipiga mahesabu haibalance..! Hiyo ndio chuma ulete

Pepo la chuma ulete linakaa kwenye noti unayopewa na mhusika mara nyingi akitaka chenchi hapo ndio chuma ulete hufanya kazi vizuri na kwakweli chuma ulete ni mazingaombwe tu ambayo hayana faida yeyote kwa mmiliki zaidi ya kumpatia vitu vya kipuuzi kabisa na vya kifukara

Chuma ulete ni pepo lisilo na faida kwa mmiliki lakini lakini likimtia hasara mlengwa ndio maana chuma ulete ni maarufu zaidi uswahilini kwenye biashara za kawaida kuliko zile biashara kubwa kubwa zenye faida nono na kwakweli chuma ulete ni kitu cha kufikirika zaidi kuliko uhalisia

Umeanza vizuri,umeharibu mwishoni,uliposema ni kitu cha kufikirika zaidi kuliko uhalisia.

Sio cha kufikirika,kipo kweli.
Tatizo ni kwamba haya mambo ni ya ulimwengu wa roho/ulimwengu usioonekana!
 
Umeanza vizuri,umeharibu mwishoni,uliposema ni kitu cha kufikirika zaidi kuliko uhalisia.

Sio cha kufikirika,kipo kweli.
Tatizo ni kwamba haya mambo ni ya ulimwengu wa roho/ulimwengu usioonekana!

Ni sahihi christine ibrahim, naweza kuwa nimeharibu mwishoni lakini nimesema ni cha kufikirika zaidi kwasasa kwakuwa kuna vingine hata havihusiani na chuma ulete lakini vinatumbukizwa huko
 
Last edited by a moderator:
Kuna huyu ndugu anaitwa topr afike huku tafadhali majibu ya maswali yake yapo
 
Wana jamii ningepanda kujua maana halisi ya chuma ulete kwani zaidi najua mtu anaye weza kuchukua hasa pesa kwa ki mazingira ndio huita chuma ulete. kuna siku jamaa mmoja alinikuta nanunua bidhaa duka ni a kaja kwangu na kuniomba shilingi Mia moja . nilikuwa na kiasi cha shilingi kadhaa mkononi nikampa mia akaenda pembeni yangu kulikuwa na mama mmoja alikuwa akinitazama kwa jicho la ishara alipoondoka yule jamaa yule mama akasema usinge mpa kwani km angekuwa na shida basi angeomba buku au Mia 5. Hawa watu wa aina hii ni washilikina wanafanya CHUMA ULETE.
sijapata madhara yeyote sasa yapata wiki . Je hili tukio laweza kuwa ni la kishirikina? na lina kaa active kwa muda gani? ...
 
Back
Top Bottom