Chuma Ulete: Ni kweli ipo? Ipi dawa ya kuidhibiti?

Mkuu Likud, bukula ya mashambani nayo ni chuma ulete? yan unalima wewe halafu anavuna. mwingine kiuchawi, je inazuilika vipi mkuu
 
Wewe jamaa unapenda uchawi na ni mchawi haswa.
Hadi umewaroga mods thread yako imekuwa sticky!
Sishangai sana maana hata Mshana Jr. Thread zake nyingi zimekuwa sticky!

naona hii thread haina tofauti sana na zile za mshana jr embu ngoja niangalie wemezstick. labda tofauti tu ni kwa mleta mada kutangaza contact zake.
Naomba kuweka kumbukumbu sawa nina mada mbili ambazo ni sticky ya magari na ya watoto... Nyingine zoote zinakufa na kufufuka zenyewe
 
h
Naomba kuweka kumbukumbu sawa nina mada mbili ambazo ni sticky ya magari na ya watoto... Nyingine zoote zinakufa na kufufuka zenyewe
nazungumzia zile mada zinazofanana na hii. kwa nini wameonelea hii iwe stick. zako kama hii ukiweka contact watastick au ....
 
h

nazungumzia zile mada zinazofanana na hii. kwa nini wameonelea hii iwe stick. zako kama hii ukiweka contact watastick au ....
Hakuna hata mada moja ya mambo ya kichawi na kishirikina hapa jamvini ambayo iko sticky hivyo naona mods wameichagua hii iziwakilishe nyingine zote
 
hututukanga ndio nini? tusaidie hapo
NDIO SABABU IKAWEKWA NAMBA YA SIMU YA MTOA MADA, ILI MIAMALA IHUSIKE ZAID. NA JINA KAMA UTUTUKANGA SIJAWI LISIKIA DUNIANI, MBINGUNI HATA JEHANUM!. WAJINGA NDIO WALIWAO CHIEF. SANUKA!
 
Hee kazi kweli kweli,, sasa kumbe ndivyo tunavyoibiwa hivyo,, utakuta kizee kina wake zake 3 na vitoto kadhaa kwake,, hana kazi wala shamba lakini kipo kipo tu mtaani,,

Mimi sasa badala ya kutumia filigisi bora kutumia bastola tu kikisogea anga zangu pumbafu zake,,

Sawa mkuu umesomeka vipi na hawa wengine wanaotuwangia usiku tukiwa tumelala tunawanasa vipi hawa,, lete somo maana kuna kibibi hapa mtaani wanakisifia sn kwa kutuvuruga usiku , asubuh unaamka umechoka kama umepondwa na treni ya mizigo.
 
Siku sitta firigis chini ya ardh sii itkuw funza tup pia tutukanga ni kitu gan au ndo biashara
 
hakuna njia nyingine rahisi kuiandaa mwenyewe niwakomeshe hawa chama ulete wote akikatiza tu nampa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…