Upiversity
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 3,487
- 2,632
nipo,tunapishana labda majukwaa!Huh!! Ugali kachumbari mimi, mboga saba nizijulie wapi!!
Mambo poa tu, za kupotea?
em kwanza mwambie huyo kwenye avi ageukie mjini kidogo!🙈
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nipo,tunapishana labda majukwaa!Huh!! Ugali kachumbari mimi, mboga saba nizijulie wapi!!
Mambo poa tu, za kupotea?
M-TUI = Tui ZITO la nazi,au sio!Downtown ya Magomeni au Mburahati
Nilidhani ndo imeisha mkuu si unajua kibongo bongo nyumba ikiwa na ceiling board na floor na madirisha wavu ndo imeisha. Ila ikikamilika jaribu kutuma picha zingine kwa ku-update uzi huu mkuuHapo ilikua haijaisha, hapo mtu katoka ukarabati umemalizika.. hiza master ziko vizuri.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nipo,tunapishana labda majukwaa!
em kwanza mwambie huyo kwenye avi ageukie mjini kidogo![emoji85]
natanguliza shukrani🙏🙏🙏[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja nimwambie.
[emoji23][emoji23][emoji23]natanguliza shukrani[emoji120][emoji120][emoji120]
Aliyekuwa humo awali alikuwa kada wa Ccm.![]()
hiki chumba kila baada ya miezi kazaa unakipost tena.. yaelekea wapangaji hawakai kabisa muda mrefu.. je kuna tatizo gani hapo?
Nilidhani ndo imeisha mkuu si unajua kibongo bongo nyumba ikiwa na ceiling board na floor na madirisha wavu ndo imeisha. Ila ikikamilika jaribu kutuma picha zingine kwa ku-update uzi huu mkuu
hiki chumba kila baada ya miezi kazaa unakipost tena.. yaelekea wapangaji hawakai kabisa muda mrefu.. je kuna tatizo gani hapo?
Alikuwa kindaki ndaki kama wewe mkuu,Aliyekuwa humo awali alikuwa kada wa Ccm.![]()
Kweli mkuuKwanza alieandika hapo sio aliekua anakaa hapo bali ni fundi wakati wa amrekebisho
Vya ishirini utavipata wapi kaka au ndio vile wahuni wanachana nyavu wanazama ndichi 😂😂😂😂Sio hulipi, Huna pesa ya kulipa kodi 100,000, wewe kaishie kwenye vya 20k kwa mwezi
Aibu ya nini sasa hapo! Mwanaume haoni aibu kutafuta pesa labda kama una haiba za kike, yani kupiga rangi hapo ndio unasema aibu? na rangi yenyewe imeshapigwa
After all nimesema atakae vutiwa anichek, kama hujavutiwa pita kushoto... umbea wa inster huku haupo.. Hapa kazi tu