MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,928
- 8,976
Habari wadau.
Ninapangisha nyumba yangu chumba kimoja na sebule, kama unahitaji ni PM
- Kuna Umeme, hakuna maji ya DAWASCO ila hakuna shida ya maji na ni KARIBU na BARABARA.
- PM If interested
.......
........
Bado sijapata mtu serious, kama utakuwa serious, nitafute tu PM. Picha sijaweka kulingana na simu ninayotumia kutosupport. Kuna watu wanataka picha na kudai mimi tapeli kwa kuwa sijaweka picha, ningekuwa tapeli ningeweka tu picha yoyote kutoka mitandaoni.
- Wale wenye jazba zisizokuwa na msingi punguzeni au kama ukisoma andiko ukaona linakupa jazba kwanini usiachane nalo tu maana ni tangazo kuliko kubaki unashusha MATUSI kwenye KEYBOARD na JAZBA juu.
Ninapangisha nyumba yangu chumba kimoja na sebule, kama unahitaji ni PM
- Kuna Umeme, hakuna maji ya DAWASCO ila hakuna shida ya maji na ni KARIBU na BARABARA.
- PM If interested
.......
........
Bado sijapata mtu serious, kama utakuwa serious, nitafute tu PM. Picha sijaweka kulingana na simu ninayotumia kutosupport. Kuna watu wanataka picha na kudai mimi tapeli kwa kuwa sijaweka picha, ningekuwa tapeli ningeweka tu picha yoyote kutoka mitandaoni.
- Wale wenye jazba zisizokuwa na msingi punguzeni au kama ukisoma andiko ukaona linakupa jazba kwanini usiachane nalo tu maana ni tangazo kuliko kubaki unashusha MATUSI kwenye KEYBOARD na JAZBA juu.