Sawa..fuatilia madawa kama ulivyoshauriwa..pole usinielewe vibaya ilikuwa ni katika kutafuta ufumbuzi wa suala lako.Aaa!!!wakati nipo mza nilikuwa peke yang nilikuwa na kutana nae mara moja kwa mwezi,baada ya kuja tbr,nikikaa kama miez 4 hv ndo akaja sasa tuakaishi pamoja tuna miaka miwil sasa tangu tuwe nae,na cjawhi kuchepuka kama itakuwa sababu
personal forte cream 2.5 inapatikana maduka ya dawa ni nzuri na bei poa haizidi 4000
Pale nilipokuwa nyumbani mza sikuwa na chunus ila nilipofika tbr kikaz kama miezi sita hivi zilifutuka chunus za hatali na haziishi ila nina uso wa mafuta mengi nikioga nakaa kama nusu sa -sa 1 nakuwa kama nimepaka mafuta usoni,nitumie nni? Kupunguza hii hali chunus ndo zinaongezeka. Watalamu naomba mnisaidie
Tatizo hizi nasikia kuna na feki nyingi. Hata mi nina na tatizo kama hili lakini hazijanisaidia
25 yrs
Pale nilipokuwa nyumbani mza sikuwa na chunus ila nilipofika tbr kikaz kama miezi sita hivi zilifutuka chunus za hatali na haziishi ila nina uso wa mafuta mengi nikioga nakaa kama nusu sa -sa 1 nakuwa kama nimepaka mafuta usoni,nitumie nni? Kupunguza hii hali chunus ndo zinaongezeka. Watalamu naomba mnisaidie
Usichane nywele halafu usiruhusu nywele kuwa ndefu usijipake mafuta!! Mda wote tembea na kitambaa uwe unafuta uso uwe mkavu!!! Usidanganyike chunusi haina dawa hata mm nilikuwa na chunusi hadi watu wakasema ni ugonjwa but now nipo soft
Acha kula vitu vya sukari sukari kwa wingi. Chukua limao kamulia mkononi kisha paka usoni acha kwa dk 10-15 kisha odha kwa sabuni ya kawaida. Paka lotion yakawaida. Acha kutumia vipodozi aina tofauti2 vitakuharibu. Vzr zaidi tumia hizo sabuni toka kigoma zapatikana kwa wingi hapo. Nina dawa ya kiasili lkn upo mbali sorry wale wa Dar wanaweza ni PM. All the bestPale nilipokuwa nyumbani mza sikuwa na chunus ila nilipofika tbr kikaz kama miezi sita hivi zilifutuka chunus za hatali na haziishi ila nina uso wa mafuta mengi nikVvizuri zaidi tumia hizo sabuni toka kigoma hizo za rangi ya blueanakaa kama nusu sa -sa 1 nakuwa kama nimepaka mafuta usoni,nitumie nni? Kupunguza hii hali chunus ndo zinaongezeka. Watalamu naomba mnisaidie