Habari zenu wana JF,
Mdogo wangu anasubuliwa na tatizo la chunusi kifuani, mgongoni na mabegani usoni zipo ila sio nyingi jambo hili linamkosesha raha maana anashidwa kuvaa baadhi ya nguo na hasa kipindi cha joto.
Kwa anayefahamu dawa ya tatizo hili, naomba anisaidie.
Asanteni.
Mdogo wangu anasubuliwa na tatizo la chunusi kifuani, mgongoni na mabegani usoni zipo ila sio nyingi jambo hili linamkosesha raha maana anashidwa kuvaa baadhi ya nguo na hasa kipindi cha joto.
Kwa anayefahamu dawa ya tatizo hili, naomba anisaidie.
Asanteni.