DOKEZO Chuo cha Kiislamu Morogoro kiboreshe mazingira ya usafi, yanawaweka hatarini Wanafunzi na Wafanyakazi

DOKEZO Chuo cha Kiislamu Morogoro kiboreshe mazingira ya usafi, yanawaweka hatarini Wanafunzi na Wafanyakazi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mimi ni mmoja wa Wanafunzi katika Chuo cha Kiislamu Morogoro, changamoto kubwa ambayo naiona kwenye chuo chetu ni suala la mazingira machafu.

Chuo hakina vifaa vya kuwekea taka hali inayofanya Wanafunzi wanaoishi kwenye Bweni kuwa wanatupa taka hovyo na kumwaga maji bila mpangilio maeneo ya nyuma ya jengo.

Wanajisaidia hovyo pia katika makorido kitu ambacho ni hatari kwa afya zao na hawa wengine wanaopatikana maeneo hayo ikiwemo Walimu wetu.

Kwa asilimia kubwa wafanyausafi pia hawana vitendea kazi wakati wa kufanya usafi kama vile viatu vigumu, hawana gloves n.k kwa ujumla hawana vifaa vya kufanyia usafi.

Maji pia ni kero maji yanasumbua chuoni, vyoo vinakuwa vichafu na hivyo kutishia usalama wa Watumiaji wote.
MUM wiyo chuo cha akiislam ni chuo cha Waislam. "Morogoro Muslim University" siyo (Morogoro Islamic University).

Kumbuka hilo.
.kama ni pachafu, uongozi haufati maadili ya Kiislam.
 
Mimi ni mmoja wa Wanafunzi katika Chuo cha Kiislamu Morogoro, changamoto kubwa ambayo naiona kwenye chuo chetu ni suala la mazingira machafu.

Chuo hakina vifaa vya kuwekea taka hali inayofanya Wanafunzi wanaoishi kwenye Bweni kuwa wanatupa taka hovyo na kumwaga maji bila mpangilio maeneo ya nyuma ya jengo.

Wanajisaidia hovyo pia katika makorido kitu ambacho ni hatari kwa afya zao na hawa wengine wanaopatikana maeneo hayo ikiwemo Walimu wetu.

Kwa asilimia kubwa wafanyausafi pia hawana vitendea kazi wakati wa kufanya usafi kama vile viatu vigumu, hawana gloves n.k kwa ujumla hawana vifaa vya kufanyia usafi.

Maji pia ni kero maji yanasumbua chuoni, vyoo vinakuwa vichafu na hivyo kutishia usalama wa Watumiaji wote.
Utaambiwa umekashfu
 
Ngoja nikupe mfano Mzumbe wanafunzi walizuiliwa kuendeleaa na masomo December nadhani mwaka Jana kisa Tu Ada ila mwamko WA wadau WA nje ya chuo ulipelekea MDA usogezwe mpaka February nadhani ..Je kabla ya Muda kusogezwa unadhani ujumbe haukuwafikia wahusika nikimaanisha viongozi ....
Different Scenario.
 
Kweli wanajisaidia kwenye makoridoo ? Kama haukuongeza chumvi basi ni kitu hatari.
 
Ushauri wa bure kama mtu unataka kusoma Mass communication usije ukajaribu kwenda pale utapoteza ⏰️ muda na 💰 pesa bureeee hamna kitu bora uende Tumaini university au SAUT wapo vizuri kwa mass communication, pale wanaifundisha kwa mazoea vifaa vichache,system zao mbovu amna chuo pale wapo kibiashara yani utumbo mtupu🤮
 
MUM wiyo chuo cha akiislam ni chuo cha Waislam. "Morogoro Muslim University" siyo (Morogoro Islamic University).

Kumbuka hilo.
.kama ni pachafu, uongozi haufati maadili ya Kiislam.
Uongozi upo busy kupokea ada tu marekebisho -0%
 
Kuhusu suala la uongozi na usimamizi wa taasisi waislamu hawawezi mana wamejaa tamaa,wengi wamekariri juzuu na hawapendi kubadilika..lazima wafeli tu.

Hawana muda mrefu watayarudisha hayo majengo waliyopewa msaada kwa serikali mana wameshindwa kuendesha chuo.

Chuo kama madrasa eti wanafunzi wa kike na kiume wakae mbali mbali wala wasifanye disscussion pamoja..wanafunzi wanakula bakora kama watoto wadogo.

Kiufupi hakuna chuo hata waislma wanao jielewa hawawezi kupeleka mtoto akasome pale.
 
Kuhusu suala la uongozi na usimamizi wa taasisi waislamu hawawezi mana wamejaa tamaa,wengi wamekariri juzuu na hawapendi kubadilika..lazima wafeli tu.

Hawana muda mrefu watayarudisha hayo majengo waliyopewa msaada kwa serikali mana wameshindwa kuendesha chuo.

Chuo kama madrasa eti wanafunzi wa kike na kiume wakae mbali mbali wala wasifanye disscussion pamoja..wanafunzi wanakula bakora kama watoto wadogo.

Kiufupi hakuna chuo hata waislma wanao jielewa hawawezi kupeleka mtoto akasome pale.
Chuo kikuu halafu bado wanatandikwa viboko?

Chuo au madras hiyo?
 
Mimi ni mmoja wa Wanafunzi katika Chuo cha Kiislamu Morogoro, changamoto kubwa ambayo naiona kwenye chuo chetu ni suala la mazingira machafu.

Chuo hakina vifaa vya kuwekea taka hali inayofanya Wanafunzi wanaoishi kwenye Bweni kuwa wanatupa taka hovyo na kumwaga maji bila mpangilio maeneo ya nyuma ya jengo.

Wanajisaidia hovyo pia katika makorido kitu ambacho ni hatari kwa afya zao na hawa wengine wanaopatikana maeneo hayo ikiwemo Walimu wetu.

Kwa asilimia kubwa wafanyausafi pia hawana vitendea kazi wakati wa kufanya usafi kama vile viatu vigumu, hawana gloves n.k kwa ujumla hawana vifaa vya kufanyia usafi.

Maji pia ni kero maji yanasumbua chuoni, vyoo vinakuwa vichafu na hivyo kutishia usalama wa Watumiaji wote.
Cha msingi majambia ya kufañyia mazoezi yapo yakutosha.
 
Kuhusu suala la uongozi na usimamizi wa taasisi waislamu hawawezi mana wamejaa tamaa,wengi wamekariri juzuu na hawapendi kubadilika..lazima wafeli tu.

Hawana muda mrefu watayarudisha hayo majengo waliyopewa msaada kwa serikali mana wameshindwa kuendesha chuo.

Chuo kama madrasa eti wanafunzi wa kike na kiume wakae mbali mbali wala wasifanye disscussion pamoja..wanafunzi wanakula bakora kama watoto wadogo.

Kiufupi hakuna chuo hata waislma wanao jielewa hawawezi kupeleka mtoto akasome pale.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom