DOKEZO Chuo cha Kiislamu Morogoro kiboreshe mazingira ya usafi, yanawaweka hatarini Wanafunzi na Wafanyakazi

DOKEZO Chuo cha Kiislamu Morogoro kiboreshe mazingira ya usafi, yanawaweka hatarini Wanafunzi na Wafanyakazi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mmepewa chuo kikuu bure. Hadi leo hsmjawahi fungua hata tawi jingine. Mnafeli wapi ndugu zangu.
Hawa na wale mazombie ya mitume na manabii nawaweka kundi moja.
Vichwa maji basi tu
 
Mimi ni mmoja wa Wanafunzi katika Chuo cha Kiislamu Morogoro, changamoto kubwa ambayo naiona kwenye chuo chetu ni suala la mazingira machafu.

Chuo hakina vifaa vya kuwekea taka hali inayofanya Wanafunzi wanaoishi kwenye Bweni kuwa wanatupa taka hovyo na kumwaga maji bila mpangilio maeneo ya nyuma ya jengo.

Wanajisaidia hovyo pia katika makorido kitu ambacho ni hatari kwa afya zao na hawa wengine wanaopatikana maeneo hayo ikiwemo Walimu wetu.

Kwa asilimia kubwa wafanyausafi pia hawana vitendea kazi wakati wa kufanya usafi kama vile viatu vigumu, hawana gloves n.k kwa ujumla hawana vifaa vya kufanyia usafi.

Maji pia ni kero maji yanasumbua chuoni, vyoo vinakuwa vichafu na hivyo kutishia usalama wa Watumiaji wote.


Kwa kiasi kikubwa uchafu mabwenini unasabaishwa na wanafunzi wachafu/wajuaji waliozoea kufanyiwa kila kitu pengine na dada wa kazi huko majumbani mwao; waliokaa mabwenini watanielewa

Fikiria; Mtu anakuja kutuambia eti wanafunzi wa degree wanakojoa koridoni; kama ni kweli, hii ni aibu!!!
Labda tusaidiane hapa; ni kama hakuna vyoo huko mabwenini au nini tatizo

Kumwaga maji nyuma ya jengo ni dalili ya kuwa na WANAFUNZI WACHAFU au wanaotaka usimamizi kama watoto wa chekechea.....au unashauri nini kiwepo ili wasimwage maji nyuma ya jengo?

Kuhusu vyombo wa kukusanya uchafu ndani ya bweni, sikumbuki kuona hivyo hata enzizetu mabwenini; ILA kule nje ya mbweni kulikuwa na pipa la taka. Na kwakuwa kulikuwa na uongozi wa bweni makini (usio na mchezo) bweni lilikuwa safi na bila kelele za hovyo hovyo.....
 
Kweli hata mimi nimeshtuka sana,kwanza waislamu wanapokojoa huhitaji maji kujisafisha,nashangaa kusikia wanajisaidia kwenye makorido, je twahara yao iko wapi?

Je wanaswali kwell? Maana utaswali vipi katika mazingira hayo?

Pili uislamu ni nadhifu,inakuwaje maji hakuna?

Wala sipati majibu

Hata chimbuko lake kule kwa mudi, hakuna maji. Ni mwendo wa kutembea na samad
 
MUM wiyo chuo cha akiislam ni chuo cha Waislam. "Morogoro Muslim University" siyo (Morogoro Islamic University).

Kumbuka hilo.
.kama ni pachafu, uongozi haufati maadili ya Kiislam.

Kumbe upogo ustadha FaizaFoxy. Bora umetaja hili. Nasikia chuo kichafu mpaka wanaweza kupata kipindupindu
 
Mimi nilimpeleka Mtoto wa Sister alikula bakora ikabidi tumpeleke Ushirika Moshi.

Alipotuambia masuala ya bakora tulibaki kucheka.

Hata mimi nimecheka. Pengine wanatumia sharia law kuendesha chuo
 
Yule CAG mstaafu hakuwa administrator hapo? Hakufanya kitu?
 
Kumbe upogo ustadha FaizaFoxy. Bora umetaja hili. Nasikia chuo kichafu mpaka wanaweza kupata kipindupindu
Yakusikia changanya ba yako.

Akutukanae hakuchagulii tusi.

.hii sisi tunaifahamu ni "Islamophobia", wala haitustui, tunakwenda nayo kama ilivyo.
 
Chuo hakina vifaa vya kuwekea taka hali inayofanya Wanafunzi wanaoishi kwenye Bweni kuwa wanatupa taka hovyo na kumwaga maji bila mpangilio maeneo ya nyuma ya jengo.

Wanajisaidia hovyo pia katika makorido kitu ambacho ni hatari kwa afya zao na hawa wengine wanaopatikana maeneo hayo ikiwemo Walimu wetu.
USAID impact
 
Kuhusu suala la uongozi na usimamizi wa taasisi waislamu hawawezi mana wamejaa tamaa,wengi wamekariri juzuu na hawapendi kubadilika..lazima wafeli tu.

Hawana muda mrefu watayarudisha hayo majengo waliyopewa msaada kwa serikali mana wameshindwa kuendesha chuo.

Chuo kama madrasa eti wanafunzi wa kike na kiume wakae mbali mbali wala wasifanye disscussion pamoja..wanafunzi wanakula bakora kama watoto wadogo.

Kiufupi hakuna chuo hata waislma wanao jielewa hawawezi kupeleka mtoto akasome pale.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom