Chuo cha SAUT badilikeni, Chuo kama shule ya msingi

Chuo cha SAUT badilikeni, Chuo kama shule ya msingi

povour3

Senior Member
Joined
Dec 11, 2019
Posts
177
Reaction score
638
Lengo la huu Uzi sio kubeza wala kudharau taasisi muhimu hii ya Elimu ya juu nchini, bali kutoa ushauri kwa lengo la kuboresha mazingira ya chuo,ambayo kimsingi hayavuti Sawa na hadhi ya Chuo Kikuu.

Ni mambo ya ajabu chuo kuwa kinakusanya mabilioni ya fedha na Kuna kipindi kilitoa gawio kwa serikali,alafu Kina shindwa kuboresha mazingira ya chuo.

Hii ni aibu mpaka kwa kanisa moja takatifu katoliki la mitume.
IMG_20241015_094438_595.jpg
IMG_20241015_090210_690.jpg

IMG_20241015_085929_963.jpg

IMG_20241015_084544_449.jpg

IMG_20241015_090042_276.jpg

IMG_20241015_090347_049.jpg

Pia soma ~ Canteen za Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agostino (SAUT ) Mwanza zimechakaa, hazifai kwa matumizi
 

Attachments

  • IMG_20241015_090441_761.jpg
    IMG_20241015_090441_761.jpg
    962.9 KB · Views: 10
  • IMG_20241015_090424_703.jpg
    IMG_20241015_090424_703.jpg
    768.9 KB · Views: 8
  • IMG_20241015_090347_049.jpg
    IMG_20241015_090347_049.jpg
    1.2 MB · Views: 8
  • IMG_20241015_090200_771.jpg
    IMG_20241015_090200_771.jpg
    355.1 KB · Views: 10
  • IMG_20241015_090042_276.jpg
    IMG_20241015_090042_276.jpg
    876.2 KB · Views: 9
  • IMG_20241015_085901_588.jpg
    IMG_20241015_085901_588.jpg
    982.5 KB · Views: 14
  • IMG_20241015_084544_449.jpg
    IMG_20241015_084544_449.jpg
    1.1 MB · Views: 16
Lengo la huu Uzi sio kupeza wala kudharau taasisi muhimu hii ya Elimu ya juu nchini,bali kutoa ushauri kwa lengo la kuboresha mazingira ya chuo,ambayo kimsingi hayavuti Sawa na hadhi ya chuo kikuu.

Ni upumbavu chuo kuwa kinakusanya mabilioni ya fedha na Kuna kipindi kilitoa gawio kwa serikali,alafu Kina shindwa kuboresha mazingira ya chuo.

Hii ni aibu mpaka kwa kanisa moja takatifu katoliki la mitume.
Hamna shule ya msingi ya private inao fanana hivo labda iwe ya st kayumba.
 
Lengo la huu Uzi sio kupeza wala kudharau taasisi muhimu hii ya Elimu ya juu nchini,bali kutoa ushauri kwa lengo la kuboresha mazingira ya chuo,ambayo kimsingi hayavuti Sawa na hadhi ya chuo kikuu.

Ni mambo ya ajabu chuo kuwa kinakusanya mabilioni ya fedha na Kuna kipindi kilitoa gawio kwa serikali,alafu Kina shindwa kuboresha mazingira ya chuo.

Hii ni aibu mpaka kwa kanisa moja takatifu katoliki la mitume.
First year karibu sana ulijenge jiji la Mungi
 
Lengo la huu Uzi sio kupeza wala kudharau taasisi muhimu hii ya Elimu ya juu nchini,bali kutoa ushauri kwa lengo la kuboresha mazingira ya chuo,ambayo kimsingi hayavuti Sawa na hadhi ya chuo kikuu.

Ni mambo ya ajabu chuo kuwa kinakusanya mabilioni ya fedha na Kuna kipindi kilitoa gawio kwa serikali,alafu Kina shindwa kuboresha mazingira ya chuo.

Hii ni aibu mpaka kwa kanisa moja takatifu katoliki la mitume.
Umewahi kufika SUA kule mazimbu?
 
Niseme Nini mkuu,yeye ndiyo kaona hayo mapungufu 🤣🙌
Mapungufu ni mengi mkuu mfano Leo Kuna jamaa yangu kahitimu SAUT 2019-2022,kaenda leo kuchukua cheti hakuna cheti Wala jina lake halipo kwenye kitabu Cha wahitimu wa mwaka husika na Cha ajabu kwenye account yake matokeo y'ako vizuri tu.😳
 
Back
Top Bottom