Lengo la huu Uzi sio kubeza wala kudharau taasisi muhimu hii ya Elimu ya juu nchini, bali kutoa ushauri kwa lengo la kuboresha mazingira ya chuo,ambayo kimsingi hayavuti Sawa na hadhi ya Chuo Kikuu.
Ni mambo ya ajabu chuo kuwa kinakusanya mabilioni ya fedha na Kuna kipindi kilitoa gawio kwa serikali,alafu Kina shindwa kuboresha mazingira ya chuo.
Hii ni aibu mpaka kwa kanisa moja takatifu katoliki la mitume.
Pia soma ~ Canteen za Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agostino (SAUT ) Mwanza zimechakaa, hazifai kwa matumizi
Ni mambo ya ajabu chuo kuwa kinakusanya mabilioni ya fedha na Kuna kipindi kilitoa gawio kwa serikali,alafu Kina shindwa kuboresha mazingira ya chuo.
Hii ni aibu mpaka kwa kanisa moja takatifu katoliki la mitume.
Pia soma ~ Canteen za Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agostino (SAUT ) Mwanza zimechakaa, hazifai kwa matumizi
Attachments
-
IMG_20241015_090441_761.jpg962.9 KB · Views: 10 -
IMG_20241015_090424_703.jpg768.9 KB · Views: 8 -
IMG_20241015_090347_049.jpg1.2 MB · Views: 8 -
IMG_20241015_090200_771.jpg355.1 KB · Views: 10 -
IMG_20241015_090042_276.jpg876.2 KB · Views: 9 -
IMG_20241015_085901_588.jpg982.5 KB · Views: 14 -
IMG_20241015_084544_449.jpg1.1 MB · Views: 16