- Thread starter
- #41
Kila kitu kinafahamika na uongozi wa juu,chuo hiki nilikiona nicha ajabu ni pale kilipotoa gawio kwa serikali, kipindi cha shujaa,wakati hata mishahara kwa wahadhiri ni kipengele.Askofu nyaisanga anayajua haya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila kitu kinafahamika na uongozi wa juu,chuo hiki nilikiona nicha ajabu ni pale kilipotoa gawio kwa serikali, kipindi cha shujaa,wakati hata mishahara kwa wahadhiri ni kipengele.Askofu nyaisanga anayajua haya?
Elimu lazima itolewe kwenye mazingira bora,tusifanye mazingira magumu kuwa sehemu ya maisha yetu.chota elimu dogo usikubali imwagike chini ndani ya hicho kitivo mbwana mdogo mengine achana nayo
Hiyo Saut Mwanza main compus na Nsumba compus!!Saut branch ya wapi?
Hawana vimbweta? Hiko chuo au madrasa? 😹😹😹Mamaaaa!!! Chuo kikuu wanakalia VIGODA badala ya VIMBWETA!
HIcho KIGODA ukikalia lazima tako lipinde kwa GANZI.
Cc: FATHER KITIMA Mbaga Jr Lamomy Kalpana Extrovert dronedrake Lloyd Munroe Maghayo
Mfano wa kibanda hiki Cha mlinzi kimechafuliwa vipi na wanafunzi👇Uchakavu mnaufanya nyie wenyewe wanafunzi
akiiiiii nimebaki mdomo wazi! Eti hawana vimbweta jamani!Hawana vimbweta? Hiko chuo au madrasa? 😹😹😹
Au kigoda kikutie suguMamaaaa!!! Chuo kikuu wanakalia VIGODA badala ya VIMBWETA!
Hicho KIGODA ukikalia lazima tako lipinde kwa GANZI.
Cc: FATHER KITIMA || Mbaga Jr Lamomy Kalpana Extrovert dronedrake Lloyd Munroe Maghayo
Tuipongeze Serikali hakika,Tena sasa wanaenda Kujenga Matawi mengine mengi kwa baadhi ya Vyuo..Vyuo vingi visivyo vya serikali vimeanzishwa kupiga pesa. Ni serikali pekee inayoanzisha vyuo ili kutoa elimu kwa watu wake.
University of Iringa haiko chini ya Catholics mkuu ,MWECAU(MOSHI) NA CUOM(MBEYA) wako vizuri sana. Lakini chuo binafsi kizuri ni UNIVERSITY OF IRINGA
Tako linakuwa kama la mjeda.Au kigoda kikutie sugu
Kwakuwa ndiyo umeripoti acha tukupatie mwezi Mmoja utakuja na Uzi wa kusifia SAUT Malimbe campus.Lengo la huu Uzi sio kupeza wala kudharau taasisi muhimu hii ya Elimu ya juu nchini,bali kutoa ushauri kwa lengo la kuboresha mazingira ya chuo,ambayo kimsingi hayavuti Sawa na hadhi ya chuo kikuu.
Ni mambo ya ajabu chuo kuwa kinakusanya mabilioni ya fedha na Kuna kipindi kilitoa gawio kwa serikali,alafu Kina shindwa kuboresha mazingira ya chuo.
Hii ni aibu mpaka kwa kanisa moja takatifu katoliki la mitume.
Tena unalalamika mazingira ya Sasa hivi wakati Kuna fence,main gate,Kuna vimbweta vimepigwa Hadi bati. Wakati sisi tukisoma hapo hivyo vyote havikuwepo.Malimbe-Mwanza