- Thread starter
- #21
Shule ile ina hadhi na mazingira bora kuliko baadhi ya vyuo vikuu vyenye majina hapa nchini.The school of St. Jude ile ni habari nyingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shule ile ina hadhi na mazingira bora kuliko baadhi ya vyuo vikuu vyenye majina hapa nchini.The school of St. Jude ile ni habari nyingine
🤣🤣🤣🤣🤭Aisee 🙌Mapungufu ni mengi mkuu mfano Leo Kuna jamaa yangu kahitimu SAUT 2019-2022,kaenda leo kuchukua cheti hakuna cheti Wala jina lake halipo kwenye kitabu Cha wahitimu wa mwaka husika na Cha ajabu kwenye account yake matokeo y'ako vizuri tu.😳
Hapo ndo main campus mkuu,hiki chuo kina ubabaishaji sana,kwa yule asiye pafahamu atasema nataka kuchafua taasisi hii.Aisee... Hapo ndo main campus Yao au ni branch?
Yaani hata baadhi ya shule nyingi za serikali zinazidi kwa ubora wa mazingira.
Lakini hawa wakatoriki wanamashirika tofauti tofauti nafkiri hao wa Mwanza na wale wa St. Joseph wa pale Mbezi DSM wale wahindi ni wababaishaji. Lakini ukitazama majengo kama ya hapa Catholic University of Mbeya yanaonekana yapo vizuri.
Kesho anakwenda kufanya fujo wampe cheti chake.🤣🤣🤣🤣🤭Aisee 🙌
🤣🤣🤣🤣Mbavu zanguu🤣Kesho anakwenda kufanya fujo wampe cheti chake.
Wanadhani ni kama wao ambao wamelelewa kiuoga uko seminari,kwa kigezo Cha nidhamu,kumbe ni ujanja ujanja tu wa kuogopa kuhojiwa.Ngalalekumtwa alishawahi kuwaambia wanafunzi wa SAUT kwamba kanisa linaweza kukifunga chuo na kukigeuza mabanda ya kufugia kuku na kuwafukuza wanafunzi wote endapo wataendelea kuleta mgomo kuhusu jambo lolote ndani ya chuo.
Ni chuo mkuu wangu,wenye kuifahamu SAUT,wanaelewa vema kabisa mantiki ya huu Uzi.Na huu ni mwanzo tu.Hizo picha zimepigwa chuoni au kwenye gereji bubu unakuja kudai ni chuo?
Mkuu hivi vitu kwa hakika unaweza cheka lakini ukivaa viatu vya muhusika hakika utajihisi vibaya Sana.🤣🤣🤣🤣Mbavu zanguu🤣
Wanadhani ni kama wao ambao wamelelewa kiuoga uko seminari,kwa kigezo Cha nidhamu,kumbe ni ujanja ujanja tu wa kuogopa kuhojiwa.
Wanafunzi wanalipa pesa hivyo lazima mazingira yawe rafiki.
Aisee aisee ntapata case.Mapungufu ni mengi mkuu mfano Leo Kuna jamaa yangu kahitimu SAUT 2019-2022,kaenda leo kuchukua cheti hakuna cheti Wala jina lake halipo kwenye kitabu Cha wahitimu wa mwaka husika na Cha ajabu kwenye account yake matokeo y'ako vizuri tu.😳
Hapo kweli changamoto sanaNi chuo mkuu wangu,wenye kuifahamu SAUT,wanaelewa vema kabisa mantiki ya huu Uzi.Na huu ni mwanzo tu.
Duh ni huyu jamaa ni Nan?Ngalalekumtwa alishawahi kuwaambia wanafunzi wa SAUT kwamba kanisa linaweza kukifunga chuo na kukigeuza mabanda ya kufugia kuku na kuwafukuza wanafunzi wote endapo wataendelea kuleta mgomo kuhusu jambo lolote ndani ya chuo.
Uncle wangu aliwahi timuliwa seminari kwa kuhoji "kwanini wanakula beans kila siku na ada wanalipa kubwa"Catholic priests are a basket case of psychological dysfunction.
Ni askofu mstaafu wa Jimbo kuu katoliki la Iringa pia kasha wahi kuhudumu Jimbo kuu la katoliki la Sumbawanga.Duh ni huyu jamaa ni Nan?
Askofu nyaisanga anayajua haya?Lengo la huu Uzi sio kupeza wala kudharau taasisi muhimu hii ya Elimu ya juu nchini,bali kutoa ushauri kwa lengo la kuboresha mazingira ya chuo,ambayo kimsingi hayavuti Sawa na hadhi ya chuo kikuu.
Ni mambo ya ajabu chuo kuwa kinakusanya mabilioni ya fedha na Kuna kipindi kilitoa gawio kwa serikali,alafu Kina shindwa kuboresha mazingira ya chuo.
Hii ni aibu mpaka kwa kanisa moja takatifu katoliki la mitume.
Naona MWECAU wamejitenga nao..Sasa hivi wanapandisha tu migorofaSaut wako kipesa zaidi, sio kuboresha elimu, hata kama unashida kanisani ukikosa ada mtihani ufanyi.