Chuo cha Usafiri wa Anga kutoa mafunzo ya urushaji drones kwa ada ya Tsh. 1,980,000 yatayoweza kuomba leseni ya urushaji TCAA

Chuo cha Usafiri wa Anga kutoa mafunzo ya urushaji drones kwa ada ya Tsh. 1,980,000 yatayoweza kuomba leseni ya urushaji TCAA

baada ya mda utasikia waziri anasema kwa nini tusikusanye ma it wakatengeneza netflix yetu,inashindikanaje?huku akishangaa..yaani vichekesho kweli kuwa na you tube channel inabidi ulipe milioni 3 tcra...hiyo netflix anayosema yeye bashungwa ipo hapa bongo inaitwa SWAHILIFLIX mmiliki mganda kila siku anasumbuliwa na uhamiaji na vymbo vya dola hadi kakata tamaa kapunguza hata kununua movies za wasanii na bei kashusha yuko very discouraged sasa sijuiw atu wajiajiri vipi jameni,duh
Nilimshangaa waziri husika eti akusanye vijana watundu wa IT, hatuwezi kuwa na Netflix like app ya Taifa, serikali iweke mazingira (sera) na hata funds kwa vijana wa IT kuchochea ubunifu kwenye Tech, tufurahie matunda yake baadae
 
Nilimshangaa waziri husika eti akusanye vijana watundu wa IT, hatuwezi kuwa na Netflix like app ya Taifa, serikali iweke mazingira (sera) na hata funds kwa vijana wa IT kuchochea ubunifu kwenye Tech, tufurahie matunda yake baadae
ndugu kuna kipindi nilitaka nitengeneze apps fulani (siwezi sema ideas hapa) nikaanza kufikiria complicatiions za nchi hii mara kesi mara sijui umehujumu uchumi yaani dah inakatisha tamaa sana nabaki tu kuuza ebooks huku jamii forums hapa.... kuna pitching nimetuma nje(USA) kama tano za story(synopsis)nasikilizia labda itakuwa ajira mpya maana hapa kwa sasa mbavu zinabanwa kila kona inakuwa kama adhabu sasa
Huyo Bishangwa ajue tu kuna SWAHILIFLIX akaulize nini kinawakumba wale wandugu jamaa alianza kuwa kimbiliol a watu kuuza vipindi na moviez zao hata kama bei ndogo lakini inasaidia kuzungusha hela ila kero anayopata jamaa(kutoka kwa wahusika) sidhani kama ana hamu tena
 
Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania kitatoa mafunzo ya urushaji wa ndege zisizo na rubani (Drones) kwa muda wa wiki nne kuanzia Januari 4, 2021. Mwombaji awe na umri kuanzia miaka 21, awe amemaliza kidato cha nne au zaidi, ajue kusoma na kuandika Kiingereza. Ada ni TZS 1,980,000.

View attachment 1653607
View attachment 1653608
Serikari iko vzur, wataalam wa kutengeneza tatizo na kulitafutia ufumbuz.
 
Kuna tetesi kwamba kitakachofuatia ni baby stroller (pichani)...utatakiwa uhudhurie mafunzo kuhusu sheria za mtaani (njia) na jinsi ya kupishana na watumiaji wengine wa njia (barabara).

Kozi itakuwa ya wiki mbili na gharama ni shilingi laki tano (500,000/=). Baada ya mafunzo utatunukiwa cheti cha kukuwezesha kumtembeza mtoto mtaani kwa usalama zaidi!

View attachment 1653733
Hela ngumu jamani...inatafutwa hadi uvunguni!​

Cheers [emoji1635][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]TANZANIA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
hata hizi toys za watoto wetu , tuwalete WATOTO huko kusoma

1608371748275.png
1608371748275.png
 
Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania kitatoa mafunzo ya urushaji wa ndege zisizo na rubani (Drones) kwa muda wa wiki nne kuanzia Januari 4, 2021. Mwombaji awe na umri kuanzia miaka 21, awe amemaliza kidato cha nne au zaidi, ajue kusoma na kuandika Kiingereza. Ada ni TZS 1,980,000.

View attachment 1653607
View attachment 1653608
Milioni mbili kasoro elfu ishirini pesa ya kozi, drone sijanunua, ada ya leseni Bado, hiyo drone kila mkoa nikienda unakata kibali chake sasa hao wateja wangu nitawatoza pesa ngapi na kwa mwaka natarajia kufanya kazi ngapi za harusi?
Bora nikalime matikiti mto Ruvu
 
Iyo kozi inamfaa sana yule mtengeneza video wa diamond director kenny,sie wa uswahilini tusubirie mpaka watakaposhusha ada
 
Back
Top Bottom