Kingfisher
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 4,740
- 7,679
Kodi ya tiharahei baba...kodi.... nchi haina dooKuna watu wanalazimisha mashuzi hapa, mwisho watajinyea....
🙌........😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kodi ya tiharahei baba...kodi.... nchi haina dooKuna watu wanalazimisha mashuzi hapa, mwisho watajinyea....
🙌........😂😂😂
hawana mpango wa kuleta huko jeshini?hahahahah kiddingAlafu hizo ukazipate wapi uendeshe?.
Hizi ni class ya D.I.Y. (Do It Yourself) kwa wale wanapenda Practical Electronics, huku wanafikiria utasafirisha wachaga wakati wa krisimasi hivyo utatengeneza hela.bwana wewee ni kama vi toy tu una install app ya dji kwenye simu unakiwasha unaki control nilidhani ni yale ma drone makubwa ya kijeshi ,watatuua hawa na vyanzo vyao vya mapato huwa nafanya hizi kazi za creativity ila watu washakata tamaa na hii serikali kufungua tu channel ya you tube sasa hivi uwe na milioni 3...yaani jamani nyieee
Eti Uajiriwe kurusha drones😀Hata ukisoma ajira hakuna
Bei ya ada inalingana na bei ndege yenyewe,
Kauli hizi jamani.Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania kitatoa mafunzo ya urushaji wa ndege zisizo na rubani (Drones) kwa muda wa wiki nne kuanzia Januari 4, 2021. Mwombaji awe na umri kuanzia miaka 21, awe amemaliza kidato cha nne au zaidi, ajue kusoma na kuandika Kiingereza. Ada ni TZS 1,980,000.
View attachment 1653607
View attachment 1653608
Tuliwahi kutengeneza series flani hapo Mwananyamala, tulitumia drones bila kuomba kibali popoteNauliza hivi kwani hauwezi ukawa unashoot video yako kwa drone bila kibali na usipatikane?
Huku mtaani tunajifunza kuendesha drones kwa kuangalia YouTube na kufundishwa na wapiga picha mtaani, wengi tunarusha drones bila hata ya kupitia chuo tena tunajifunza kwa siku moja tu,chombo hicho angani na kupiga picha kama loote.Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania kitatoa mafunzo ya urushaji wa ndege zisizo na rubani (Drones) kwa muda wa wiki nne kuanzia Januari 4, 2021. Mwombaji awe na umri kuanzia miaka 21, awe amemaliza kidato cha nne au zaidi, ajue kusoma na kuandika Kiingereza. Ada ni TZS 1,980,000.
View attachment 1653607
View attachment 1653608
Kuna na zile toys za watoto...Ni drone zipi hasa wanazoziongelea? Zile za kupigia picha au?
Hahahahah, ungemalizia "Hakikisha unaziuzia shamba kabla viherehere kutoka mamlaka ya mapato hawajang'aa shambani kwako"Hiyo 1,980, 000/= fanya hivi nenda kijiji cha Mwarazi mgeta pale morogoro tafuta shamba kwa bei nafuu kabisa lima cabbage kwa hekta kumi kwa miezi tatu. Matokeo utayaona sio huu ujinga wa serikali
Wanaolima cabbage wapo wanaendelea na sisi wa drone tunaendelea, unataka nchi nzima wote tuwe wakulima?Hiyo 1,980, 000/= fanya hivi nenda kijiji cha Mwarazi mgeta pale morogoro tafuta shamba kwa bei nafuu kabisa lima cabbage kwa hekta kumi kwa miezi tatu. Matokeo utayaona sio huu ujinga wa serikali
Hii itakuwa wanaongelea Drones Kubwa unazoweza Kupanda na kuendesha ukiwa Ndani Mana Dashboard yake imesheheni makorokoro.Ni drone zipi hasa wanazoziongelea? Zile za kupigia picha au?
Huku mtaani tunajifunza kuendesha drones kwa kuangalia YouTube na kufundishwa na wapiga picha mtaani, wengi tunarusha drones bila hata ya kupitia chuo tena tunajifunza kwa siku moja tu,chombo hicho angani na kupiga picha kama loote.
Katika watu ambao akili hawana na wewe umoHiyo 1,980, 000/= fanya hivi nenda kijiji cha Mwarazi mgeta pale morogoro tafuta shamba kwa bei nafuu kabisa lima cabbage kwa hekta kumi kwa miezi tatu. Matokeo utayaona sio huu ujinga wa serikali
Yaani Bongo si ajabu Mr Kuku aliweza kukusanya mabilioni ya TZ, yaani hawa wasomi wetu wamekaa wakaona kuna mtu atatoa milioni 1.8 kwenda kusomea urushaji wa drone, drone hizi za kupiga picha! wakati huo huo sheria yao haikuruhusu kurusha drone bila kibali, baada ya mafunzo hii knowledge unaenda kuapply wapi? Kina milard Ayo wanapiga picha za drone kila siku wamejifunza wapi? tunarusha madrone kwa ajili ya kupiga picha na hatujawahi soma chuo chochote. Hebu njooni na mikakati endelevu wakuu.Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania kitatoa mafunzo ya urushaji wa ndege zisizo na rubani (Drones) kwa muda wa wiki nne kuanzia Januari 4, 2021. Mwombaji awe na umri kuanzia miaka 21, awe amemaliza kidato cha nne au zaidi, ajue kusoma na kuandika Kiingereza. Ada ni TZS 1,980,000.
View attachment 1653607
View attachment 1653608
Ipo sheria inayozuia kurusha drones bila kuwa na leseni ya kufanya hivyo. Siku wakianza kuitekeleza itakuwa vilio na kusaga meno. Kumbuka kutokujua sheria si kinga ya kutoshtakiwa.Huku mtaani tunajifunza kuendesha drones kwa kuangalia YouTube na kufundishwa na wapiga picha mtaani, wengi tunarusha drones bila hata ya kupitia chuo tena tunajifunza kwa siku moja tu,chombo hicho angani na kupiga picha kama loote.
Najua kuna sheria ya kurusha drone,lakini hakuna sheria kuwa ili upate leseni lazima usome hiyo kozi ya kurusha drone,hapo ndio changamoto,kwani sio kila mtu atakuwa na hiyo 1.4m wakati na si lazima usome ndio uelewe jinsi ya kuendesha hizi drones,mbona tunajua kuendesha na hatujaenda chuo?Ipo sheria inayozuia kurusha drones bila kuwa na leseni ya kufanya hivyo. Siku wakianza kuitekeleza itakuwa vilio na kusaga meno. Kumbuka kutokujua sheria si kinga ya kutoshtakiwa.
Mkuu umeshamaliza kwanza hata wao hawajui kuendesha hizo drones ila naona ni kama wanabuni kamradi fulani,drones zipo siku nyingi na watu wengi wanajua kuziendesha kwa vitendo na si kwa nadharia sasa leo utake eti muendesha drones ajifunze kwa mwezi mzima wakati ni kitu cha masaa 2 na kama mzito kuelewa basi ni siku moja tu unarusha chombo angani.Kuhusu sheria ya kujisajiri hiyo ni sawa na ipo karibu mataifa yote,lakini la kwenda kusugua makalio darasani mwezi mzima na milioni jua yake eti unajifunza kuwa pilot wa drone naona huu ni wizi wa mchana na kutaka sifa tu,wabuni vyanzo vingine vya mapato. Wakati mwingine ndio maana tunawapa sifa wazungu na mataifa mengine kwa kuweza kusaidia kutatua changamoto zinazowakabili watu wao na sio kufanya changamoto ziwe fursa kwa kuwakandamiza wananchi wao,kwa sasa tutambiwa tulipie hata pumzi tunayopumua,kila kitu malipo sijui tunaelekea wapi.Tatizo kubwa la taasisi zetu za UMMA ni ukosefu wa ubunifu, wana pounce kwa kila kitu ambacho wanaweza ku-make easy money.
Hao walimu wa Chuo cha usafirishaji wanaweza kueleza wananchi walisomea Chuo gani kozi ya kurusha DIY drones, kama Drones zingekuwa zinaundwa hapo chuoni walao tungeweza kuwaelewa.
Ukweli ni kwamba na wao wanajifunza kwa kuangalia video clips kutoka UTube halafu wanakuja kuzuga watu. Hivi wanaweza kweli ku-justify ulipaji wa karibu million mbili kwa kile wanacho kiita kozi ya wiki mbili ya urushaji Drones za plastic - huu kama sio wizi wa mchana tuiiteje.